Sijui nimekosea wapi

Sijui nimekosea wapi

Lwamadovela

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
324
Reaction score
235
Ni miezi minne sasa wife kitandani tunapishana sana. Yaani hataki tulale kwa kutazamana. Ukimwomba mtazamane mkali Kama mbogo! Najaribu kumuliza Kama nimemkosea, hajibu. Hii hali mpaka inapelekea niwaze kuchepuka! Sijui nimekosea wapi!au ameanza kuchepuka ko hana hisia na mimi!?!?
 
Mkuu huyo ni mkeo. Mpaka kufikia kufanya kuna mawili tu either kuna kitu umemkwaza na hataki kukwambia or yeye tayari ana mchepuko..
 
Tatizo kutazamana au hakupi haki yako ya msingi? Maana hili hujaliweka wazi ili tukupe ushauri.

Ni miezi minne sasa wife kitandani tunapishana sana. Yaani hataki tulale kwa kutazamana. Ukimwomba mtazamane mkali Kama mbogo! Najaribu kumuliza Kama nimemkosea, hajibu. Hii hali mpaka inapelekea niwaze kuchepuka! Sijui nimekosea wapi!au ameanza kuchepuka ko hana hisia na mimi!?!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hiyo ya kunuka pumzi ina dawa? Niliwa kuwa na mwanamke ananuka pumzi ilikuwa shida.. Mbaya zaidi akawa anapenda sana denda,
Mtoa mada inabidi ajitathmin!
1. Haunuki mdomo/pumzi???

2. Wengine ili walale kwa starehe sana mikao yao sio lazima mtazamane

3 we we msafi?au unanuka kama beberu....au hauogi unanata kama umepaka gundi????

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni miezi minne sasa wife kitandani tunapishana sana. Yaani hataki tulale kwa kutazamana. Ukimwomba mtazamane mkali Kama mbogo! Najaribu kumuliza Kama nimemkosea, hajibu. Hii hali mpaka inapelekea niwaze kuchepuka! Sijui nimekosea wapi!au ameanza kuchepuka ko hana hisia na mimi!?!?
Umemuudhi halafu unajifanya hujali, huombi msamaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Haunuki mdomo/pumzi???

2. Wengine ili walale kwa starehe sana mikao yao sio lazima mtazamane

3 we we msafi?au unanuka kama beberu....au hauogi unanata kama umepaka gundi????

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa mawazo. Kwanza wife pua haifanyikazi. Hata ungejamba no shida.miaka yote tumelala kwa kutizamana. Hii imekuja ghafla ndo maana inanipa shida
 
Mkuu huyo ni mkeo. Mpaka kufikia kufanya kuna mawili tu either kuna kitu umemkwaza na hataki kukwambia or yeye tayari ana mchepuko..
Ndo namuliza Kama nimemkwaza aseme, hasemi. Bora mtu aseme. Utajua weakness yako iko wapi.
 
Back
Top Bottom