Sijui nikatawanye???!

Sijui nikatawanye???!

Mkuuu em jishtukie basi that chick could be your sister perhaps au one day she could be your daughter,utajisikiaje kujua kuwa katika umri mdogo kaingizwa kwenye mambo yaliyomzidi????????????usilolopenda kufanyiwa wewe usimfanyie mwenzako pia ishi kwa kufuata kanuni hii utafurahia maisha.
we mara ya mwisho umesikia mtu kafungwa kwa ajil ya kutembea na mwanafunzi lin? Mpe anachotaka kama inapita kama haipiti subil muda ufike..hili suala la kuuliza kweli si lakujimalizia tu wenzako wanavitafuta hivyo vitoto wewe unachezea bahati
nb:huo ni ushauli wa nguvu za giza maana we mwenyewe ubongo wako umejaa giza.

Sent from my blackberry 9780 using jamiiforums
 
Mkuu una watoto wa kike wewe au wadogo zako wa kike?????????????kuweni na huruma jamani why mnaona hili kuwa jambo dogo sana angekuwa bintiyo jee ungechekekelea tu na kumpa go ahead???????????au unaongea kwa ujasiri wote huo kwa kuwa hayajakukuta?????????
mpe anachokitaka. By the way form 3 sio mtoto tena huyo. Ni mkubwa mwenzio.
 
usijaribu hata kidogo kudate na mwanafunzi ndugu yangu tafuta demu ambaye si dent mbona wapo wengi
 
Sidhani kama mtoto anaweza kuja hivi hivi na kukuambia maneno kama hayo Kijana kama wewe na nahisi na kuamini kua kuna kitu umekifanya ambacho huyo mtoto kakiona kwako na ndo mana kaamua kukufata wewe,kwa nn asifate watu wengine?]

Nibaada ya wakati alipo ipata namba yangu ya simu ndipo alipo pata huo ujasiri,
 
Kuna sheria inabidi zirudishwe ili watu washike adabu. kaka zake wakikukamata unakula ujue unafanywa shoga muda si mrefu.
 
Hii ndo shida ya kizazi cha .com. Hata yale maadili ya kuishi na ndugu tu hayapo tena. Hivi kwa mwafrika ni tangu lini mtoto mdogo wa kike anayekuchukulia kama kaka yake akaanza tu from no where kukutongoza????
Halafu ukamkemea aache upuuzi huo asome yeye kanga'ang'ania???
a) Yani ni kwa sababu tu hujalea mtoto akakua akaanza kufanya huo upuuzi ukajua uchungu wake
b) Dadako angefanyiwa hivyo na huyo rafikiyo ungejickiaje?
c) Hao wazazi ulioishi chini ya dari yao, ukala chakula cha jasho lao na sasa umekua kidume nguvu za chakula hicho ndo unataka kumgegedea binti yao?

Dah! Sometimes mi naona adhabu wanazopewa wauwaji ni kuonewa...mbona kuua kuko nje nje??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom