Sijui Nifanyaje

Sijui Nifanyaje

xkl

Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
6
Reaction score
3
Wana MMU, niko katikati na sijui cha kufanya.
Sio mzuri sana wa kuelezea lakini nitajitahidi ili mpate picha halisi ya ilivyokuwa na ilivyo sasa.
Nilimpata msichana amabaye baada ya muda mfupi sana wa kufahamiana tukaanza kukaa kinyumba, bila mimi kuufahamu undani wake na yeye kuhufahamu undani wangu..

Mapenzi motomoto mara ujauzito nao ukagonga hodi. Hapoo ndipo mambo yakaanza.
Nikawaeleza wazazi wangu na kutafuta kujua yupi ni wa wapi. Ikaja kugundurika kwamba kuna maunganiko kati ya familia yetu na ya kwao ina mahusiano, mmoja wa familia yetu ameoa upande wao.


Ikajadiriwa na pande zote kila moja kivyake. Kwao walikuwa hawana shidaingawa ni baada ya msuguano mkubwa. Ila upande wangu waligoma kabisa na vitisho vya radhi na maneno makali mengineyo nikapewa na wazazi. Kwa sisi ambao tangu utoto haujawahi kusikia maneno kama hayo yakitoka kwa mzazi. Nikingiwa na hofu kubwa kiasi kwamba nikaangukia kwenye chochote watachoamua wazazi Sawa muda ukaenda mtoto mzuri akazariwa na akapata nguvu baada ya miezi michache ikabidi kwa uchungu mkubwa nimruhusu mama na mtoto wangu waende mbali na mimi.

kwa upande wa mama watoto ilikuwa ngumu sana na kwa kweli alinilaumu sana kwa kuachia hii hali itokee lakini sikuwa na jinsi.

Miaka ikapita, namuahudumia mtoto na nakwenda kumuona, kila mazingira ya mtoto anapoishi kwa kweli, leo kaishi kwa huyu leo kaishi kule na tofauti ninayoiona ukilinganisha na angekaa na mimi mwenyewe na mama yake ilikuwa hainiridhishi kabisa. Na kibaya zaidi mwanangu ananipenda kupitiliza. kila ninapoonana naye kwa kweli ikifikia wakati wa kumuaga unaona kabisa furaha inapotea usoni pake. kwa hiyo naiodoka sijarishika na na hiyo hali inazidi

Baada kama miaka mitatu, ukilinganisha umri unaenda na nimeshachoka kukaa mwenyewe, nikaanza mahusiano na mtu ambaye Moyo wangu unaniambia atakaa na mwanangu na atampenda kama ninavyokaa naye mimi. Baada ya kuona mambo yanakoelekea nikaanza kujaribu kumwomba mama watoto msamaha ili kama akiniridhia niachane na huku niliko nimrudishe yeye na tujenge familia yetu.

Baada ya majaribio kadhaa za kumshawishi mama mtoto turudi pamoja, ikashindikana. Nikaona imeshindikana ikabidi niendelee. Hatua niliyochukua ni kumwambia kwamba basi kama imeshindikana kabisa basi itabidi nimwambie kwamba niendelee na yeye aendelee, kila mtu awe huru na akipata mtu amtaharifu mwenzake. sijapata pingamizi hapo.

nikaanza process za upande wa pili, lakini kabala sijaendendelea na ni baada ya muda kupita nikamtaarifu kwamba nimepata mtu kwa hiyo nitaendelea naye.. kwa siku hiyo kama alipanic flani hivi na baadaye akaniambia nakutakia kila la kheri katika maisha yako.
mimi nikaanza na process, tukapeleka barua na tunataka kwenda chukua majibu. mama watoto kaja juu na ananiambia sawa unaendelea lakini mimi sijaridhika kabisa..

nikamuuliza sasa mbona nilikuwa nakwambia kila hatua ambayo naishukua. akaniambia hata kama sikuwa vizuri kwa hiyo sikuwa ninajua ninachokujibu .. sawa endelea lakini moyo unaniuma sana.

wadau ni mkasa mref nimewachosha lakini ... . tusimuangalie mama watoto ambaye ameshindwa kunipa Go head mara ya kwanza na kunipa nguvi ya kwenda kulianzisha kwetu... tumuangalie mtoto... naamini kabisa mtoto anatakiwa kuwa na baba na mama yake. nitamchukua sawa , lakini kunakuwa na complications sana kwa watoto ambao baba ameoa mke mwingine wakai mama yake yupo na hajaolewa.

Kingine ni kwamba hatua huku zimefika kusiko, tunatakiwa tukachukue majibu na mambo mengine yaendelee.
Niko katikati. wadau kuna makosa mengi hapo nimeyafanya lakini its too late now tuangalie jambo la msingi. na kingine ninataka nitengeneze familia yenye furaha na amani na bila kumuumiza mtu.

Akhsanteni
 
Wana MMU, niko katikati na sijui cha kufanya.
Sio mzuri sana wa kuelezea lakini nitajitahidi ili mpate picha halisi ya ilivyokuwa na ilivyo sasa.
Nilimpata msichana amabaye baada ya muda mfupi sana wa kufahamiana tukaanza kukaa kinyumba, bila mimi kuufahamu undani wake na yeye kuhufahamu undani wangu..

Mapenzi motomoto mara ujauzito nao ukagonga hodi. Hapoo ndipo mambo yakaanza.
Nikawaeleza wazazi wangu na kutafuta kujua yupi ni wa wapi. Ikaja kugundurika kwamba kuna maunganiko kati ya familia yetu na ya kwao ina mahusiano, mmoja wa familia yetu ameoa upande wao.


Ikajadiriwa na pande zote kila moja kivyake. Kwao walikuwa hawana shidaingawa ni baada ya msuguano mkubwa. Ila upande wangu waligoma kabisa na vitisho vya radhi na maneno makali mengineyo nikapewa na wazazi. Kwa sisi ambao tangu utoto haujawahi kusikia maneno kama hayo yakitoka kwa mzazi. Nikingiwa na hofu kubwa kiasi kwamba nikaangukia kwenye chochote watachoamua wazazi Sawa muda ukaenda mtoto mzuri akazariwa na akapata nguvu baada ya miezi michache ikabidi kwa uchungu mkubwa nimruhusu mama na mtoto wangu waende mbali na mimi.

kwa upande wa mama watoto ilikuwa ngumu sana na kwa kweli alinilaumu sana kwa kuachia hii hali itokee lakini sikuwa na jinsi.

Miaka ikapita, namuahudumia mtoto na nakwenda kumuona, kila mazingira ya mtoto anapoishi kwa kweli, leo kaishi kwa huyu leo kaishi kule na tofauti ninayoiona ukilinganisha na angekaa na mimi mwenyewe na mama yake ilikuwa hainiridhishi kabisa. Na kibaya zaidi mwanangu ananipenda kupitiliza. kila ninapoonana naye kwa kweli ikifikia wakati wa kumuaga unaona kabisa furaha inapotea usoni pake. kwa hiyo naiodoka sijarishika na na hiyo hali inazidi

Baada kama miaka mitatu, ukilinganisha umri unaenda na nimeshachoka kukaa mwenyewe, nikaanza mahusiano na mtu ambaye Moyo wangu unaniambia atakaa na mwanangu na atampenda kama ninavyokaa naye mimi. Baada ya kuona mambo yanakoelekea nikaanza kujaribu kumwomba mama watoto msamaha ili kama akiniridhia niachane na huku niliko nimrudishe yeye na tujenge familia yetu.

Baada ya majaribio kadhaa za kumshawishi mama mtoto turudi pamoja, ikashindikana. Nikaona imeshindikana ikabidi niendelee. Hatua niliyochukua ni kumwambia kwamba basi kama imeshindikana kabisa basi itabidi nimwambie kwamba niendelee na yeye aendelee, kila mtu awe huru na akipata mtu amtaharifu mwenzake. sijapata pingamizi hapo.

nikaanza process za upande wa pili, lakini kabala sijaendendelea na ni baada ya muda kupita nikamtaarifu kwamba nimepata mtu kwa hiyo nitaendelea naye.. kwa siku hiyo kama alipanic flani hivi na baadaye akaniambia nakutakia kila la kheri katika maisha yako.
mimi nikaanza na process, tukapeleka barua na tunataka kwenda chukua majibu. mama watoto kaja juu na ananiambia sawa unaendelea lakini mimi sijaridhika kabisa..

nikamuuliza sasa mbona nilikuwa nakwambia kila hatua ambayo naishukua. akaniambia hata kama sikuwa vizuri kwa hiyo sikuwa ninajua ninachokujibu .. sawa endelea lakini moyo unaniuma sana.

wadau ni mkasa mref nimewachosha lakini ... . tusimuangalie mama watoto ambaye ameshindwa kunipa Go head mara ya kwanza na kunipa nguvi ya kwenda kulianzisha kwetu... tumuangalie mtoto... naamini kabisa mtoto anatakiwa kuwa na baba na mama yake. nitamchukua sawa , lakini kunakuwa na complications sana kwa watoto ambao baba ameoa mke mwingine wakai mama yake yupo na hajaolewa.

Kingine ni kwamba hatua huku zimefika kusiko, tunatakiwa tukachukue majibu na mambo mengine yaendelee.
Niko katikati. wadau kuna makosa mengi hapo nimeyafanya lakini its too late now tuangalie jambo la msingi. na kingine ninataka nitengeneze familia yenye furaha na amani na bila kumuumiza mtu.

Akhsanteni

Si mwende mkaombe kazi kwa Shigongo!
 
Pole kwa misukosuko unayopitia.

Huyo mama watoto wako hajielewi ni SITAKI NATAKA.Kwa mtazamo wangu alikuwa anadhania haupo makini katika hilo suala zima la kutafuta mwenza akijipa matumaini utarudi kwake.
Swali la kujiuliza je bado UNAMPENDA?kwasababu inaonekana mnapendana ila familia zenu ndo zinawatenganisha.Kama mnapendana nawashauri muwe pamoja na mulee mtoto wenu isitoshe huo udugu wenu kwa nilivyoelewa mimi inaonekana ni wambali kwahio sioni kama utakuwa kikwazo Sijui mlikutana katika mandhari gani na mzazi mwenzio lakini yalotokea yashatokea MAJI YAKIMWAGIKA HAYAZOLEKI.Kwahio suala la wazazi wako kukuhukumu wewe kwa makosa uloyafanya bila kujua si haki.Wakati mwengine lazima uwe SELFISH na ujifikirie wewe AND WHATS BEST FOR YOU,jipe kipaumbele ndugu yangu,kumbuka wewe ndio mwenye maamuzi juu ya maisha yako na si yoyote yule.

Turudi kwa huyo mchumba ulonae sasa,je nae unampenda kuzidi huyo mzazi mwenzio hebu kaa jifikirie unamtaka yupi kati ya hao mabinti wawili!Kwasababu sikushauri umpotezee muda wake huyo msichana kama unaona huwezi kuwa nae!Na ikiwa unataka kuwa nae inabidi uondoe hisia zote kutoka kwa mzazi mwenzio na umsahau,japo mmezaa lakini mahusiano yenu yawe kuhusiana na mtoto tu!

Nakutakia kila la kheri!
 
kuna dada anatafuta script kwa fedha humu mtafute labda unaweza kumuuzia hii kitu
 
"Nimpende yupi kati yao, nimuache yupi kati yao...mbona najiona kama nimepagawa"...hayo ni maneno katika moja ya mashairi ya nyimbo za hawa vijana wa Bongo Flavor...
Ni mkanganyiko utokanao na mapenzi haswa pale nafsi zetu zinapojikanganya na kushindwa kuwa na uamuzi mmoja tokea awali...
Jambo muhimu ambalo unapaswa kulifanya ni kutokukosea tena, kaa chini jiulize kwa kina baina ya hao mabinti wawili ni yupi unamuhitaji zaidi...
 
next time comment bila ku quote...tunapotezeana muda

Hayamungu tena mimi nime-Reply With Quote, kama ulivyofanya wewe, sija-comment kabisa!
wanaotoa comment labda huko facebook, sio mimi kabisa!!!
 
kuna dada anatafuta script kwa fedha humu mtafute labda unaweza kumuuzia hii kitu

Ndo maana nimemshauri akaombe kazi kwa Shigongo! Data Kani-mind!
Na utoto huu, mzigo eheee! Akikuwa je?

user-offline.png
xkl
Join Date : 26th August 2013Posts : 4

Rep Power : 0

Likes Received 0
Likes Given 0
 
Nimeisoma lakin huyo mtoto si umuache na mama yake tu!!!!!!!

its better akalelewa na mama kama yeye mwenyewe anaweza kufanya hivyo.......

halafu huyo dada sitaka nataka ilikuwa ya nini wakati alipewa chance.Nimeisoma haraka haraka lakin
 
Nimeisoma lakin huyo mtoto si umuache na mama yake tu!!!!!!!

its better akalelewa na mama kama yeye mwenyewe anaweza kufanya hivyo.......

halafu huyo dada sitaka nataka ilikuwa ya nini wakati alipewa chance.Nimeisoma haraka haraka lakin

Mi nadhani wanawake wote wapo hivyo...SITAKI/NATAKA... We niambie nani kati yenu alikubali mara ya kwanza..??? si mpaka mtu aliporudia, ndo akaapa kigegedeo cha kike..??
 
Vichaa na wasio na akili hawapo milembe tu, hata JF mpo...

Nimecheka sana! Tunakula nanyi, tunafurahi nanyi, tunaimba nanyi, "sometimes we make love"
This is JF camp! Hata Daktari Bingwa wa Vichaa, waganga wenziye huhisi MWEHU!
 
Nimecheka sana! Tunakula nanyi, tunafurahi nanyi, tunaimba nanyi, "sometimes we make love"
This is JF camp! Hata Daktari Bingwa wa Vichaa, waganga wenziye huhisi MWEHU!
Unamshangaa huyo daktari kuonekana kichaa...??? Vichaa wenyewe wanadhani sisi wazima ndo vichaa.... Chezeya ugonjwa wa akili weye...
 
Mi nadhani wanawake wote wapo hivyo...SITAKI/NATAKA... We niambie nani kati yenu alikubali mara ya kwanza..??? si mpaka mtu aliporudia, ndo akaapa kigegedeo cha kike..??

Scenario yake ni tofauti wao walishatongozana na mtoto wakazaa kabisa

halafu tangu jana nilikwambia tukikubali haraka mnasema tunajirahisi,

tukichelewa eti tunaringa hamna jema nyie!!!!!!!!!!
 
yaani nyie wote hamjitambua mnataka nn?
Tuambie unmpenda nani kati ya hao?
..na ushauri wa bure ni kuwa bora utengeze na uliyezaa nae,ht mtt atapata mapenzi ya wazazi, hii bness ya mtt akienda kwa mama kuna baba wa kambo, akienda kwa baba kuna mama wa kambo sio nzuri jamani,mnawatesa watt kisaikolojia
 
Back
Top Bottom