makubwa mume atoe mwili wake kwaniaba yapesa!!! chakufanya mwambie gf wako kuhusu ajali, uskubali kuzini nashemu, ahidi kulipa hiyo pesa pindi upatapo, usiwe zoba kuendeshwa nawanawake malaya
Sasa ushajua ni dhambi....sipendi mijanaume isiyokua na msimamo mxiuuuu.......nenda gangoge ufe maana adhabu ya dhambi ni umauti sasa sijui utaondoka na liukimwi au nn.....afu sababu ushatoka eneo la tukio atakulazimishaje kulipa taa...kana haujamgonga
Kama hadithi hivi....
1. Kwamba 'mchumba' wako umwambie unamtoa akwambie aje na rafiki yake!!!! Wanawake hawako hivyo....labda kama hajawa mpenzi wako bado...au wanafunzi.
2. Unakwangua gari....kisha linakua la mtu unayemfahamu!
3. Aligongwa wala hashuki hadi ukamgongee kioo....
4. Mwanamke anakupa ofa ya ngono....kavukavu....wanawake wakitaka kutega mwanaume hawaongei upfront....labda wale walioshindikana....
Huu ndo upuuzi wenyewe...
Uwezo wenyewe wa kutunga ni mdogo sana
Eti nikakwangua Mark x, uongo mtupu
Ngoja yakukute...ndio utajua.Story humu zimekua nyiiingi ila hazina mashiko.
Sioni cha kuomba ushaur hapo, wewe ni mwanaume jikaze ulipe, usijishushie hadhi na heshima yako only for money, sasa kama una nia nzur na mpenzi wako kamweleze ukweli mchumba wako kuwa umekwaruza gari la rafiki yake, then mchumba wako akaongee na rafiki yake uone kama atakusemesha tena.
kopa kwa marafiki zako umpe ukipata unarudisha kama kweli hutak kuwa msaliti
Akili mbili...
yan kama ningekuwa nayo mda huu ningekupa sema mhhhh hali c hali gud luckNiko kwenye taratibu hizo...ahsante nawe ukiguswa kama rafiki
Kwani gari yako haina bima? au hiyo ajali iliripotiwa????? jaza mwenyewe.
Ila inaelekea huyu 'rafiki' wa mchumba wako ni bomba na ibilisi amekutambalia kama ni hivyo uamuzi ni wako
Nadhani hakushuka kwa kuwa anaifahamu gari yangu.
Labda ilikuwa zari kukwangua gari la mtu ninaemjua vinginevyo ningekuwa nyuma ya nondo pale centro
mwanaume mzima unadrive gari huna hata milioni ya akiba
Yaani mmeshatoka eneo la ajali na trafiki hakupima chochote halafu bado unatishiwa maisha,? vitu vya ajabu sana hivi
yan kama ningekuwa nayo mda huu ningekupa sema mhhhh hali c hali gud luck
Lakini utafute hela usitafte sababu ya kuchepuka bdae ukaanza kujuta.Hilo ndio jibu ninalolipokea kwa % kubwa ya rafiki zangu nadhani mafuriko yameathiri uchumi wa watu wengi.