Sijui mimi nina mkosi gani katika mahusiano

Sijui mimi nina mkosi gani katika mahusiano

Song of Solomon

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
2,751
Reaction score
5,623
Habari za jioni wanajamvi, moja kwa moja niingie kwenye nada, nimekuwa mhanga mkubwa wa wanawake hasa ninaowapata kwenye whatsapp groups, binafsi nina groups nyingi ambazo najitahidi ku socialize lkn nikafanikiwa kupata mademu kama wanne kwenye kila group ajabu kila mwanamke nilifamikiwa kuonana nae haendani na wanawake ninaowapenda,kinachoniudhi huwa wanatuma picha za uongo yaani zisizo zao.

Leo nilipanga miadi na mmoja Kati yao huwezi amini mwanaume nikajiandaa kweli kweli mpaka kupaka VUMBI la Kongo,shida ikaja alipoingia eneo la tukio yaani haeleweki mwanaume nikajikakamua nikamnunulia bia tatu na kitimoto.Mimi nikagonga K vant ndogo ili kutoa aibu tukazama guest nikalipa 15000 imeniuma mnooooo nikazama ndani nikashindwa hata kufanya romance nikazamisha dudu baada ya dk 23 nikafika mshindo eti yeye bado

Nikaenda kunawa bafuni tena kwa sabuni ajabu yeye hakutoka kitandani akabaki na sperms huku akiniomba nirudie second round,nimejitahidi kufikiria mwanamke mwingine imeshindikana kusimama mpaka akasema tuondoke.Leo ndy nimeamini kumbe nguvu za kiume ziko kwa mwanamke mwenyewe iwapo anavutia.

Naapa sitatongoza tena mwanamke kwenye group
 
Sasa hapo mkosi uko wapi na we mwenyewe ni zoa zoa..
 
Ungeweka ile picha aliokutumia pembeni ya kitanda na yeye akiwa anaiangalia halafu ungeipigia punyet..o mbele yake mpaka ukojoe.


Lunatic
 
Habari za jioni wanajamvi, moja kwa moja niingie kwenye nada, nimekuwa mhanga mkubwa wa wanawake hasa ninaowapata kwenye whatsapp groups, binafsi nina groups nyingi ambazo najitahidi ku socialize lkn nikafanikiwa kupata mademu kama wanne kwenye kila group ajabu kila mwanamke nilifamikiwa kuonana nae haendani na wanawake ninaowapenda,kinachoniudhi huwa wanatuma picha za uongo yaani zisizo zao.

Leo nilipanga miadi na mmoja Kati yao huwezi amini mwanaume nikajiandaa kweli kweli mpaka kupaka VUMBI la Kongo,shida ikaja alipoingia eneo la tukio yaani haeleweki mwanaume nikajikakamua nikamnunulia bia tatu na kitimoto.Mimi nikagonga K vant ndogo ili kutoa aibu tukazama guest nikalipa 15000 imeniuma mnooooo nikazama ndani nikashindwa hata kufanya romance nikazamisha dudu baada ya dk 23 nikafika mshindo eti yeye bado

Nikaenda kunawa bafuni tena kwa sabuni ajabu yeye hakutoka kitandani akabaki na sperms huku akiniomba nirudie second round,nimejitahidi kufikiria mwanamke mwingine imeshindikana kusimama mpaka akasema tuondoke.Leo ndy nimeamini kumbe nguvu za kiume ziko kwa mwanamke mwenyewe iwapo anavutia.

Naapa sitatongoza tena mwanamke kwenye group
Mkirudi kutoka shule huwa mnasumbua!!!!
 
Back
Top Bottom