Sijui lengo lake nini


Mkuu wewe ni kiboko ya waongo, safi sana
 
We achana na huyo kunguru wa feri .. lea mwanao mzazi wako kakwambia kweli.. hana adabu anajua kukojoa tu .. we jua ulichukua mbegu pale na huna mpenzi wala baba wa mwanao

Mtani usitoke mishipa ya shingo bure...kwa kumshauri...huyu kumbe anatufanya makatuni tu
.....mkuu MO11 ameshamuumbua.....
 
Last edited by a moderator:

Kumbe huyu demu nyumbu aisee
 
Last edited by a moderator:
Mimi nakerwa sana na waongo wa jf!!Hapa jf nimewahi kukutana na mwongo mmoja mpaka kamzidi shetani,nadhani ni ndugu yake huyo dada!!shenzy type!
 
Ndio maana wengi huleta mizaha hata kama mtu tupo na shida. Tatizo ni viumbe kama hawa, waongo sana...

Kweli mkuu JF imeshachafuka....inatakiwa mods wawe makini na wapuuzi kama hawa kwa kuwa kuna wengine wanahitaji ushauri kwa dhati lakini ngedere kama hawa ndio wanaowafanya wadau watoe majibu ya kejeri......inatakiwa mtu akisharepotiwa apigwe ban....haraka iwezekanavyo ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo....nakulinda heshima ya JAMIIFORUM where we dare to talk openly...
 

Sasa wewe hukujua kama unadate kavulana? Mwenzio wanadate wanaume. On a sasa anashindwa hata kuja kumuona mtoto wake. Lakini pole sasa jikoki uende na utakapo dhani anakupenda kumbe mwenzio anakuona wewe wakuponea anapokua na njaa.
 
We umekmvilia kwenye kusex tu....



Ila alichokisema mama yako ndicho chenye mantiki.. na kama una masikio basi msikilize mama yako.

sijakuelewa kuanzia hapo....au kuna mtu anaweza pata mimba bila kusex?
 
fatilia haya maneno ya mzazi wako.


mama
kasema kama anakutaka aje hapa nyumbani
sababu alikutelekeza bila msaada wowote
umezaa hajaja hata kumuoba mtoto iweje leo
akuite uende?
 
Mwanaume akikwambia hakupendi ni hakupendi kweli na kwann ulazimishe dunia ya leo?? Ukimsikiliza ba kumfuata na ukiamini huwezi ishi bila yeye basi utakua ni miongoni mwa wanawake wapumbavu kabisa kupata kutokea miaka ya hivi karibuni

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…