Aisee kumbe huyu dada anatufanya sisi makatuni.....watu mpaka tunaenda maktaba kuchimbua nondo na mapoint ya maana kumfariji.....kumbe anatufanya sisi masakara.....shenzy zake....nakuomba mkuu ukimkamata mkate vibao kwa niaba yangu....nina hasira nae sana.......
muooongo kuliko shetani ndo maaana huyo mwanaume hakutaki
mxxxeeew
Cc Tyta
kushauri humu ndani siku hizi imekua shida maana watu ni waongo kuliko kawaida
Aisee kumbe huyu dada anatufanya sisi makatuni.....watu mpaka tunaenda maktaba kuchimbua nondo na mapoint ya maana kumfariji.....kumbe anatufanya sisi masakara.....shenzy zake....nakuomba mkuu ukimkamata mkate vibao kwa niaba yangu....nina hasira nae sana.......
ila wanawake kiukweli mna moyo wa makaratasi!!! yani after all that bado unajiuliza ufanye nini??? the dude hakupendi na kama ni kuomba msamaha angekubal kuja kwenu, sa anataka uende akakupe bend nyingine alaf urud tena hapa kulialia
Usiende mtoto isiwekigezo maana anaweza akapenda Mtoto wewe usiwe na nafasi wakati umepoteza muda KWA kuosha vyombo baadae unatimuliwa sikia wazazi wako. Kama shida ni ngono nenda katafute wapili lakini future huyo hajaamua kuwa nawe
We achana na huyo kunguru wa feri .. lea mwanao mzazi wako kakwambia kweli.. hana adabu anajua kukojoa tu .. we jua ulichukua mbegu pale na huna mpenzi wala baba wa mwanao