Sijui,lakini nadhani wanawake wanaweza kutupa majibu juu ya hili ......!!!!!

Mkuu haya mambo mhh!!!
 
Reactions: Mbu

Hilo ni gumu sana

Siku hizi mwanamke asiyefanya kazi inaonekana kama sio binadam hivi!
 
Yaani kweli kabisa unasema hii ni akili?????

The whole issue is complicated Eiyer na kuielewa inataka ukae pembeni uangalie uhalisia na si kwa jicho la victim
 
Last edited by a moderator:
Hilo ni gumu sana

Siku hizi mwanamke asiyefanya kazi inaonekana kama sio binadam hivi!

Usisahau pia ukweli kuwa wanaume wanawasimanga na kuwanyanyasa wanawake wasiofanya kazi!
When its his money,his car,his house then its his life and she is just living in it!!! Wanaume wabinafsi sana
 
Binadamu tuko complex sana.

Ningumu kujua binadamu ana hitaji nini.
 

Hizo 7 ni chache kati ya nyingi na bahati mbaya zote zinafanana lakini kutoka nje ni tabia ya mtu.hata umuache free au umbane sanaaaa akiamua kutoka anatoka tu.wapo wengi wanaoheshimu ndoa zao
 
Nakubali kuwa hiyo ilikuwa extreme case; lakini message bado ina hold...ela ikiwa ndio msingi wa ndoa hiyo inakuwa partnership si ndoa ya mfano...mwanamke anakuwa anakaa na mtu kwenye ndoa ili aweze mantain status; kwa mume anakuwa na mke ili apate huduma muhimu pale anapokosa za mtaani au heshima tu kwenye jamii..

Hilo ni gumu sana

Siku hizi mwanamke asiyefanya kazi inaonekana kama sio binadam hivi!
 
Usisahau pia ukweli kuwa wanaume wanawasimanga na kuwanyanyasa wanawake wasiofanya kazi!
When its his money,his car,his house then its his life and she is just living in it!!! Wanaume wabinafsi sana

Kimsingi huwezi kusahihisha kosa kwa kufanya kosa
Kitendo cha mwanaume kumsimanga mkewe kuhusiana na hela ni kosa
Kitendo cha mwanamke kuacha jukumu lake la kuilea familia na kuiacha bila mwangalizi ili kutafuta fedha anazosimangiwa na mumewe ni kosa pia

Kimaumbile mwanaume ndio anapaswa kuitafutia familia mahitaji yake ya kifedha,mwanamke yeye ni kulinda familia nyumbani na kutawala mamlaka yote ya nyumbani.Kama kuna mwanaume asiyejua hilo hafai kuitwa mume

Kitendo cha mwanaume yoyote kumsimanga mkewe kwa sababu ya fedha ni upu.uzi mkubwa na huyo hafai kuitwa mume pia,lakini tatizo linaanzia kwenu nyie wananwake,ukimpata mwanaume anaekupa heshima na thamani yako utamdharau na kukimbilia huko kwa hao wanaowanyanyasa na kuwasimanga halafu mnakuja kuwalaumu wanaume wote,sijui mkoje!
 

I agree fully

Siku hizi wanatamka wazi hapa na mitaani kuwa kama mwananume huna hela usiwasogelee kabisa
Wanaolewa na hao wenye hela bila kujua kitu muhimu kwenye maisha ya binadamu sio hela
Wanatendwa wanakuja kuwalaumu wanaume wote
Sijui hili jinamizi limetokea wapi

Tutakapoishia hata shetani hajui!
 
Hizo 7 ni chache kati ya nyingi na bahati mbaya zote zinafanana lakini kutoka nje ni tabia ya mtu.hata umuache free au umbane sanaaaa akiamua kutoka anatoka tu.wapo wengi wanaoheshimu ndoa zao

Wewe uefanya utafiti gani kuthibitisha kuwa "wapo wengi wanaoheshimu ndoa zao"?
Hao wengi wanasifa zipi?

Kwanini 7 ziwe chache?
Hujiulizi tu kuwa kama kuna ndoa 7 zenye sifa na mambo yanayofanana kwanini kusiwe na ndoa 1000 za namna hiyo zinazofanana?
 

Mkuu wanaume maskini huwa hawawatendi wake/wanawake zao? Ni wenye fedha tu ndiyo watendaji?
 

Ulishaambiwa na mshangiaji mmoja ke wanataka sifa zote ndiyo watulie... sasa wewe una 5 umemiss 3, je huoni ni sababu za kumfanya partner wako kuchepuka kwa anayezijazilizia hizo 3 ulizozimiss wewe?
 
Mkuu wanaume maskini huwa hawawatendi wake/wanawake zao? Ni wenye fedha tu ndiyo watendaji?

Swali lako linatokana na maelezo gani?
Hayo uliyoya quote au kuna mengine?
 
Ulishaambiwa na mshangiaji mmoja ke wanataka sifa zote ndiyo watulie... sasa wewe una 5 umemiss 3, je huoni ni sababu za kumfanya partner wako kuchepuka kwa anayezijazilizia hizo 3 ulizozimiss wewe?

Unang'ang'ania uende ghorofa ya 3 bila ya kupitia ghorofa ya kwanza na pili

Ni kitu gani kilimfanya akubali kuolewa na mimi at the first place?
Au hayo mapungufu yamekuja kutoka kusikojulikana tu?

Halafu unajua kama kuna mtu mwenye sifa zote hizo duniani?
Na una uhakika kuwa hicho ndio kinawafanya watoke nje ya ndoa?
 
Samahani nadandia fuso mbele! Ukiwa mume ni halali kwa wake zako kutumia fedha za matumizi kuopolea marioos?

Kama umejua unadandia fuso kwa mbele halafu ukaendelea kuidandia utakuwa ni mzima kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…