gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
gfsonwin nimekuambia hakuna Mungu anachohitaji kwa mwanadamu.Akihitati anakua sio Mungu,uhitaji sio sifa ya Mungu ni sifa ya binadamu,acha kumfananisha na kumpa Mungu sifa za kibinadamu.Kumwabudu Mungu ni hitaji la mwanadamu sio Mungu.Kumwabudu Mungu ni hitaji la mwanadamu sio Mungu,Mungu hahitaji chochote kutoka kwa mwadamu!
hivi labda niulize ili neno Mugu anataka ama anhtaji haimaanish kwamba amekosa hicho alicho nacho. mfano mbona Mungu anasema leteni zaka kamili........... neno leteni llinaonyesha nini? je tumpelekee wakati hana uhitaji? na vyote hivi si vyake?