BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 921
- 2,243
Nakumbuka tuliachana alipogundua kuwa yale malengo niliyomuahidi kabla mzee Magu hajaingia madarakani hayatatimia
Maana of course wahitimu wengi tumejaa mtaani huku wengi wakiwa wamekata tamaa ya maisha!!
Sikuwa na kazi, nilivurugwa...!!na still girl ananiuliza "Lini utakuwa na kwako P?"....kichwa ndo kikazidi kuniuma...!!
Then akaanza kubadilika...text hazijibiwi kwa wakati....yupo busy na kazi za nyumbani akisema ameenda kukinga maji hapo atakaa masaa 7!!
Nikasoma mchezo kuwa sitakiwi tena na kuna mtu anamkeep busy....!!bila shari nikabreak up(japo still alidai ananipenda)
Iliniuma mno kuachana nae but ilinibidi...!!hapo ndio safari ya kutafuta maisha nikiwa single ilipoanza...!!nilitumia funzo na kiburi alichowahi kunionesha kama motisha kupambana na maisha
Iliniuma pia resources na muda niliopoteza kwake coz n ngumu kusahau mtu alokuachia mengi ya kukumbukwa..Kila nikiona mvua nakumbuka nilivyoloa mwili mzima stendi kumkinga yeye asiloe
Iloniuma kutumiwa hivyo nikaahidi kutafuta pesa kwa udi na uvumba nijenge maisha lkn pia niliahidi kutoamini hawa viumbe kamwe
Nimetafuta pesa kwa nguvu zote bila kupumzika, sina weekend wala out...!!
Namshukuru Mungu now nina biashara yangu na pia nimepanga chumba na vitu ndan vinajaa na still bado vitajaa
TATIZO LINAANZIA HAPA
Ameanza kutuma text...!!na huwa sijibu, huwa anatuma text nisipomjibu atakaa wiki au hata mwezi au miezi lkn atatuma tena message
Niliamua kufuta kabisa connection nae...!!coz najua lazima atajifunza kitu akikutana na mbwa mwitu wa kuonja onja...!!
Just nilihitaji kushare experience na ushauri pia
Kama ex wako anataka kurudi jua huko alikoenda wamemfunza kitu na sio kama amerudi kwakuwa anakupenda.
Na kwakuwa anakuweza...!!na pia labda na kwa kuwa amesikia hatua ulopiga so ndo amerudi akuangushe tena
Na ukiona umeachana na mtu na mambo yakakunyookea, jua umeanza hatua ya kwanza kuelekea mafanikio.
Morning
Maana of course wahitimu wengi tumejaa mtaani huku wengi wakiwa wamekata tamaa ya maisha!!
Sikuwa na kazi, nilivurugwa...!!na still girl ananiuliza "Lini utakuwa na kwako P?"....kichwa ndo kikazidi kuniuma...!!
Then akaanza kubadilika...text hazijibiwi kwa wakati....yupo busy na kazi za nyumbani akisema ameenda kukinga maji hapo atakaa masaa 7!!
Nikasoma mchezo kuwa sitakiwi tena na kuna mtu anamkeep busy....!!bila shari nikabreak up(japo still alidai ananipenda)
Iliniuma mno kuachana nae but ilinibidi...!!hapo ndio safari ya kutafuta maisha nikiwa single ilipoanza...!!nilitumia funzo na kiburi alichowahi kunionesha kama motisha kupambana na maisha
Iliniuma pia resources na muda niliopoteza kwake coz n ngumu kusahau mtu alokuachia mengi ya kukumbukwa..Kila nikiona mvua nakumbuka nilivyoloa mwili mzima stendi kumkinga yeye asiloe
Iloniuma kutumiwa hivyo nikaahidi kutafuta pesa kwa udi na uvumba nijenge maisha lkn pia niliahidi kutoamini hawa viumbe kamwe
Nimetafuta pesa kwa nguvu zote bila kupumzika, sina weekend wala out...!!
Namshukuru Mungu now nina biashara yangu na pia nimepanga chumba na vitu ndan vinajaa na still bado vitajaa
TATIZO LINAANZIA HAPA
Ameanza kutuma text...!!na huwa sijibu, huwa anatuma text nisipomjibu atakaa wiki au hata mwezi au miezi lkn atatuma tena message
Niliamua kufuta kabisa connection nae...!!coz najua lazima atajifunza kitu akikutana na mbwa mwitu wa kuonja onja...!!
Just nilihitaji kushare experience na ushauri pia
Kama ex wako anataka kurudi jua huko alikoenda wamemfunza kitu na sio kama amerudi kwakuwa anakupenda.
Na kwakuwa anakuweza...!!na pia labda na kwa kuwa amesikia hatua ulopiga so ndo amerudi akuangushe tena
Na ukiona umeachana na mtu na mambo yakakunyookea, jua umeanza hatua ya kwanza kuelekea mafanikio.
Morning

