kajuna john
Member
- Jan 29, 2017
- 73
- 26
anakaa kwaoUnaishi nae!??
masika tatizo keshamwambia mpaka kaka yake kuwa mimi ndiye chaguoWewe "muwowe" tu waitu!
asante mkuu lakin tambua ni vigumu kuusoma moyo hasa wa msichanaHadi hapo ningekua ndio nimekupa mtihani, ningesema umefeli.
Kwa umri huo unapaswa kujua mwanamke mwenye huba na asie na huba na wewe.
😛😛😛😛😛😛😛😛😛Teh teh teh teh..!!!!
Mnunulie sumu kisha mpelekee, akinywa tena basi huyo anakufaa..!!
asante kwa ushauri mkuukuwa makini mkuu pengine anamaanisha nilishawai kuambiwa hivyo na kipenzi changu Aziza nikajua anatania maana karne hii hakunaga mapenzi yakunyweana sumu lakini alikunywa kweli na alifariki njiani kabla ya kufika hosptalini hili tukio sitakaa nilisahau maisha yangu yote sikujua kama ananipenda kiasi hicho...........Aisee nakushauri kuwa makini na sisitiza kuwa makini na uchunguze pengine anakutishia tu usipuuzie hili swala usije ukafanya makosa kama Mimi
yes mara moja tuumesha wah kuonana nae??
Endelea tu kupima upendo wake akikushinda unitagjamani tuache utani make njia zote nimejaribu za kumtega nijue kama anaigiza anakwepa mfano aombbi hela mara kwa mara,lugha yake yaunyenyekevu,na mbaya zaidi juzi alikua anaumwa lkn yeye ndo anapiga simu kunijuza anaendeleaje nashindwa kujua kama anaigiza upendo au amedhamilia..............
Una sura na body nzuri? Una hela???yes mara moja tu
Kama yupo adi mda hui nahic hana nia ya kujiuahabari zenu
nina msichana ambaye tumekutana kwenye mtandao tukaanzisha murafiki na hatimaye mahusiano,tatizo ni kwamba wadada wa mitandao wengi wao ni wadanganyifu lkn huyu amekua akipiga simu hata nyakati za usiku sana kuniulizia nipo na nani na kibaya zaidi nilijaribu kumwambia sina imani naye na alidiriki kujaribu kunywa sumu ingawaje walimuwahi na kumpa maziwa.na amekuwa akisisitiza kila mara nikijaribu kumuacha atajiua.sasa sijajua kama anaigiza au laaaaah.
naombeni ushauri tafadhali