Sijui Ingekuwa wewe ungefanyaje?

Siku moja ajifanye mjinga, aondoke asubuhi bila kuacha pesa ya matumizi kisha jioni yake asirudi nyumbani, badala yake amjibu amepata udhuru hatorudi ndani ya siku mbili. Naamini akirudi siku ya tatu atawakuta wameshajiset wenyewe.
 
Kisa kipo hivi jamaa anasimulia huko kwenye chanzo kimoja cha habari kwamba.

" Nimeoa Mwaka huu Ndoa yangu ina miezi 3, baada ya kufunga ndoa ndugu wa mke wangu waliokuja kwenye sherehe hawajarudi kwao, Mama zake wawili, wadogo zake jumla wako 5 ,

Familia imekuwa kubwa ghafla kila nikitaka kuongea na mke wangu kuhusu ndugu zake kuondoka anasema yeye hapendi kubaki peke yake, wakati Mimi nashinda kazini, nisaidie nifanyeje ili waondoke? Sikujiandaa kutunza familia kubwa ya watu 7 mapema hivi,

Mshahara na budget yangu inatosha mimi na mke wangu na mtu mwingine yeyote mmoja, Nisaidie nitaongea vipi nisionekane nina roho mbaya.

Ingekuwa wewe ingekuwa vipi?
Kwanini usimtafutie mkeo biashara ya kufanya asikae nyumbani, itaepusha kuita ndugu zake kumpa kampani
 
Hiyo mbona rahisi sana ishatokea kwa jamaa mmoja alichokifanya akikaa sebuleni anakaa uchi akienda jikoni uchi waliondoka Wenyewe, wakabaki kuhadisiana mshenzi kweli
Jamaaa anatumia bangi sio mtu wa kawaida
 
Fukuza
122593451_2740797049471953_1777710575627596097_n.jpg


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mama angu anasemaga nyumba haijai... Inajaa roho.. ila kwahili Mimi roho na nyumba zingenijaa
 
Kisa kipo hivi jamaa anasimulia huko kwenye chanzo kimoja cha habari kwamba.

" Nimeoa Mwaka huu Ndoa yangu ina miezi 3, baada ya kufunga ndoa ndugu wa mke wangu waliokuja kwenye sherehe hawajarudi kwao, Mama zake wawili, wadogo zake jumla wako 5 ,

Familia imekuwa kubwa ghafla kila nikitaka kuongea na mke wangu kuhusu ndugu zake kuondoka anasema yeye hapendi kubaki peke yake, wakati Mimi nashinda kazini, nisaidie nifanyeje ili waondoke? Sikujiandaa kutunza familia kubwa ya watu 7 mapema hivi,

Mshahara na budget yangu inatosha mimi na mke wangu na mtu mwingine yeyote mmoja, Nisaidie nitaongea vipi nisionekane nina roho mbaya.

Ingekuwa wewe ingekuwa vipi?

Tabia za warangi hizo
 
Soln rahisi tu bro
Kwanza Usioneshe kuchukizwa hata kdg wew kua normal ongeza mapenzi kwa mke wako mara dufu ukiwa unatoka acha nusu ya matumizi kwa siku kama ulikua unaacha 15,000tsh sasa acha 7,000 au 6,000 daily mwambie mkeo hali mbaya saivi halaf rudi mapema ikiwezekana pale tu kazi zako zikiisha
Pili ukirud anza michezo yakimahaba pale pale mbele yao kama ni sebleni anza kumtekenya mke wako mkiss n.k nakwambia kama wasipoondoka ni quote hapa nikupe option nyingne
 
Punguza matumizi,inaonekana mkuu unailea vema ndoa yako mpya,unaacha matumizi kiasi wanakula kama hoteli,hivyo hawana sababu ya kurudi kwao maana wapo nchi ya maziwa na asali.Punguza hela,wakiona pagumu watasepa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom