Rudisha gari ya watu fanya yako... kama umeliona hilo..Sitaki kuolewa naye lol! Baya hiv nilipeleke wap? Kwanza anaonekana mhongaji akinioa si atakua anahonga tu huko nje?
Mjinga kwel wewe we uliyeenda udom elimu yako imekusaidia nini unakuja kutangaza shida za wazazi wako humu?Uktrack=ukitrack
Huna akili form four failure hata D mbili zilikushinda.
Hakika elimu ni hazina
SawaRudisha gari ya watu kuwa free msipotezeane muda fanya yako nayeye afanye yake kama umeshindwa kujiongeza kiubunifu... usije jaribu kwenda kwa waganga wa kienyeji maana huko ndio mnakimbiliaga..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kwani lako? Sirudishi bhana weee kanipa mwenyeweRudisha gari ya watu fanya yako... kama umeliona hilo..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Samahani usinielewe vibaya ila ni kama umepangishiwa nyumba na boy wako then unaingiza wanaume wengine inaumizaga sana huuo jamaa amaekupenda ndio maana amekupa gari utumie alafu wewe unacheat au vaa viatu vyake... kaachini tafakari na wewe unasema hauna hisia naye za mapenziKwani lako? Sirudishi bhana weee kanipa mwenyewe
Hujui hii open source. People share political, social, economic, matters humu.Mjinga kwel wewe we uliyeenda udom elimu yako imekusaidia nini unakuja kutangaza shida za wazazi wako humu?
hii ni street world Cup...hataree sanaaShort Story:
Mwamba ka fall in love na kicheche wa mtaa. (HoodRat)
Maneno matamu ya faraja, ahadi ya kufunga ndoa baada ya uchumba, kuonesha kujali panapo matatizo (Emotional support)1999 Youth.
Okay ku simplify jus vaa viatu vya huyo jamaa alaf tell me how it feelsNdo nimepambana nimepata gar unataka nipambanaje sasa? Subir nipeqe kadi tu..hata yeye ndo anapambana hivo apate papuchi yangu
Khaaa unaumizwa na nini? Angekua anaumia angenipa gar? Unajua maana ya kupenda wewe? Hebu tulia bas kidogoOkay ku simplify jus vaa viatu vya huyo jamaa alaf tell me how it feels
Utahira huu siku utamfumania mama yako uje useme huku..kuna mipaka paka shume weeeHujui hii open source. People share political, social, economic, matters humu.
She is dead.Utahira huu siku utamfumania mama yako uje useme huku..kuna mipaka paka shume weee
Sa ntafanyaje namie starehe nataka na gar natakaSamahani usinielewe vibaya ila ni kama umepangishiwa nyumba na boy wako then unaingiza wanaume wengine inaumizaga sana huuo jamaa amaekupenda ndio maana amekupa gari utumie alafu wewe unacheat au vaa viatu vyake... kaachini tafakari na wewe unasema hauna hisia naye za mapenzi
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Umemaliza kila kituJe unaweza kusikia raha ukilala na baba ako? Jibu ni hapAna
Wanaume wenzangu amini nawaambia zama zimebadilika mwanamke ukijaribu kumpa kila kitu kamwe hatakuja kuwa na hisia deep za kimapenzi na wewe maana hapo unakuwa km mzazi wake sio mpenzi wake.Hii ni saikolojia ndo inasema hivyo..
Saikolojia inasema wanawake wengi wana low self esteem by nature sasa na huu utandawazi tatizo limekuwa kubwa kupita zmn,enzi zile hamna internet.
Mwanamke mwenye low self esteem mnunulie pipi Atakupenda zaidi ya kumnunulia kiwanja au gari.Hili ni jambo muhimu sana wanaume kuzingatia mpe mwanamke thamani anayostahili otherwise atakuona mbu mbu mbu
Wanaume tumedhani ukimpa kila kitu mwanamke atakupenda ukweli ni kwamba inategemea anajiona ana thamani kiasi gani?ukiacha uzuri wao,wanawake wengi wanajiona wana thamani ndogo tena wengi kweli kweli sasa ukitaka kumpa kila kitu anakuona hili Jinga linawezaje kunipa kila kitu mwanamke mwenye thamani ndogo kama mimi???Hili litakuwa lina matatizo tu ngoja nilichunguze labda pua yake kubwa ndo sababu labda sababu sio mrefu sana labda sababu kibamia.Kwa thamani yake aamini km anaweza kupata mtu wa kumpa kila kitu....
Wanaume wengi wanaowapa kila kitu wanawake ndo wanaongoza kwa kukosolewa kwa mambo ya kijinga.Mwanamke kazoea anapewa 2000 ya nauli wewe unalala nae unampa 300k hivi unadhani atakupenda au atakuona mbu mbu mbu tu????
Km unaamua kumpa kila kitu mwanamke hakikisha ana high self esteem.Utanishukuru badae.
ππππ Daah wewe dada wamuita zoba kabisaaUmenichekesha..na huyu zoba wangu akijua hii fomula ataniacha walah!
Wayiii namjua huku hapajui yeye anaishia fcbk tuDaah wewe dada wamuita zoba kabisaa
Mara paap uyo njemba ndio mimi apa
"Na hii gari sikupi kumbe unanitukana namna hii"