Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Shikamooni wanajamvi,wadogo marahaba.Natumaini wote mchana mmeuona kama hujauona bado karibu lunch kwa mama mremboo.
Nisiwapotezee muda niende streit tu ze point. Huyu kijana nimefanya maamuzi ya kumuacha zaidi ya mara tatu kutokana na tabia zake na zangu kutoendana,unakuta yeye Ana mtizamo tofauti kabisa wa maisha na style zake.kila nikimueleza anaona kama namuingilia. So mie nkaona isiwe nongwa bado ndo kwanza mchana naweza nunua kwingine! Nimemtamkia kabisaaaaa kwamba tusipotezeane muda kila mtu awahi kivyake but yeye huwa hajibu chochote zaidi ya kusema Yuko in love na mimi!naamua nakuwa kimya ILA akipiga tu simu na kuongea mawili matatu basi mie hoiii najikuta hisia zinanijia narudiana nae, sometimes anasema eti mie sina nguvu ya kumuacha....!ukweli sina future nae ILA nashindwa namna ya kuzuia hisia.
Sasa wadau wangu naomba mnishauri nifanyeje nimuache mamoja??for six months nimejaribu nimeshindwa kitu ambacho sio kawaida yangu, kwenye ishu ya kuacha mtu mie ilikuwa ni kama unavyokunywa maji ILA kwa huyu mhhhhh.
Nisiwapotezee muda niende streit tu ze point. Huyu kijana nimefanya maamuzi ya kumuacha zaidi ya mara tatu kutokana na tabia zake na zangu kutoendana,unakuta yeye Ana mtizamo tofauti kabisa wa maisha na style zake.kila nikimueleza anaona kama namuingilia. So mie nkaona isiwe nongwa bado ndo kwanza mchana naweza nunua kwingine! Nimemtamkia kabisaaaaa kwamba tusipotezeane muda kila mtu awahi kivyake but yeye huwa hajibu chochote zaidi ya kusema Yuko in love na mimi!naamua nakuwa kimya ILA akipiga tu simu na kuongea mawili matatu basi mie hoiii najikuta hisia zinanijia narudiana nae, sometimes anasema eti mie sina nguvu ya kumuacha....!ukweli sina future nae ILA nashindwa namna ya kuzuia hisia.
Sasa wadau wangu naomba mnishauri nifanyeje nimuache mamoja??for six months nimejaribu nimeshindwa kitu ambacho sio kawaida yangu, kwenye ishu ya kuacha mtu mie ilikuwa ni kama unavyokunywa maji ILA kwa huyu mhhhhh.