Sijielewi, "Personalities" zangu zinanichanganya

Sijielewi, "Personalities" zangu zinanichanganya

Lighton

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
2,020
Reaction score
3,372
Iweni hodari katika kulijenga Taifa tukufu la Tanzania. Wasalaaam ndugu zangu[emoji120][emoji120]

Bila ya kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika.

"Sijielewi" naam ni kweli sijielewi silipingi hilo ndani ya nafsi yangu najishuhudia mwenyewe kwa dhati kabisa na hii ndiyo sababu ya kuandika huu uzi.

Kuna muda nakuwa mtu wa haki sana, nasalimu wazee, nawachangamkia,nawasaidia na kufurahi pamoja nao. hii ni kwa maeneo ninayokaa na kwa sehemu ninazo tembelea.

Kuna muda nafurahi na marafiki na watu wa karibu na marafiki zangu, nawasaidia na kufanya kila kilicho kizuri pamoja nao hii ni kwa maeneo ninapokaa na maeneo ninayotembelea.

Dosari inakuja pale ambapo nabadilika na kuwa wa aina tofauti na mwanzo. Hali hii hustahimili muda mrefu kuliko vile ambavyo na kuwa mtu wa haki.

Napungukiwa na moyo wa kufurahi na marafiki mara nyingi zaidi ya vile ambavyo nakuwa na huo moyo.

Namshukuru MUNGU amenipa moyo wa huruma kuwasaidia watu lakini kwa muonekano wa sura yangu ambao hudumu kwa muda mrefu huleta hisia za woga na chuki kwa baadhi ya marafiki na kusababisha kutokuniambia shida zao. Hapa huwa pananiuma sana and there's nothing I can do to myself.

Hii hali imepelekea mgawanyiko wa watu wanaonizunguka, mfano kuna marafiki zangu wananiona ni mtu mwema na wa haki na baadhi ya wazee wamekuwa wakinisema kuwa nina tabia njema lakini pia kuna baadhi ya marafiki na wazee wanazungumza tofauti (vibaya).

Hii hali inaniumiza sana and there's nothing i can do to myself. Honestly speaking nahitaji msaada wa mawazo nifanyaje?

Nahitaji muendelezo mzuri wa tabia njema japo naona nashindwa kabisa, au kama watu wa aina hii wapo na mim nikiwa mmoja wapo, nifanyeje ili niweze kuishi pasipo kuwa na msongo wa mawazo nilio nao?

Naomba kuwasilisha[emoji120][emoji120]
 
“When you’re 20 you care what everyone thinks, when you’re 40 you stop caring what everyone thinks, when you’re 60 you realize no one was ever thinking about you in the first place. You have enemies? Good. That means you’ve stood up for something, sometime in your life.”

Winston Churchill
 
Ikiwa imepitiliza basi ndio mbaya! Lakini kama ni ya wastani haina shida.

Mkuu unachotaka kukijua ni kitu kipana kiasi sio kitu unachoweza kukitolea ufafanuzi haraka!,nitaandika ninayofikiria kiduchu.. kuhusu tabia ya mtu huathiriwa na vitu vingi ikiwamo mazingira, uwezo wa ufahamu, hormones n.k
Kama utapenda anza kujifanyia uchunguzi wewe mwenyewe ili ujue kipi haswa kinawezakuwa chachu ya mabadiriko ya tabia zako!.
Angalia system ya maisha huenda ikawa inakubadili hivyo aidha hupendi maisha unayoishi,unajua hata vyakula huumba tabia zako maana chakula pia ni mjengeko wa hormones zako!.

Hormones.. hapa naweza kuandika mengi ila hizi zinahusisha utaalum zaidi hivyo ingefaa upimwe hormones zako na hapa ndipo utapata ushauri murua kama zitakuwa hazijabalance! Tena kwa sisi me hormones ya testosterone isipo balance mambo mengi sana huibuka!.. nikipata nafasi nitakuja kulianzishia uzi hili siku moja.


Ushauri wangu naoutilia mkazo ni kuwa Tafuta mwanasaikolojia akusaidie.
 

“When you’re 20 you care what everyone thinks, when you’re 40 you stop caring what everyone thinks, when you’re 60 you realize no one was ever thinking about you in the first place. You have enemies? Good. That means you’ve stood up for something, sometime in your life.”

Winston Churchill
Umenipa ka quotation ka kusumbulia watu... Fact
 
Kila binadamu anazo sehemu 3 zifuatazo:
1. Personality
2.Characteristic
3.Temperament

Fatilia maana ya maeneo yote hayo matatu huenda utapata jibu la swala lako.
 
Nakushauri LIVE YOUR LIFE

Hakunaga binadamu aliependwa na watu wote duniani humu,huyo hayupo..
Hajawahi tokea na wala hatokuja atokee..
Yesu,Muhammad, Mussa nk pamoja na kuwa walikuwa karibu sana na Mungu na kufanya mema na mazuri,lakini bado hawajahi kupendwa na watu wote.

Hadi Leo hii kuna nyuzi nyingi tu za kuwakashifu na kuwaondolea heshma zao sasa sembuse mm na ww mkuu?

Hutokuja kuwapendeza wala kuwafurahisha watu wote,cha msingi jua kuwa hili ninalofanya zuri or baya na kwa lengo lipi basi.
Ukimkosea MTU muombe msamaha ili nafsi yako isisononeke na kuumia,na kama ukimuomba msamaha akikataa basi nenda kwa amani na shughuli zako.
 
Ikiwa imepitiliza basi ndio mbaya! Lakini kama ni ya wastani haina shida.

Mkuu unachotaka kukijua ni kitu kipana kiasi sio kitu unachoweza kukitolea ufafanuzi haraka!,nitaandika ninayofikiria kiduchu.. kuhusu tabia ya mtu huathiriwa na vitu vingi ikiwamo mazingira, uwezo wa ufahamu, hormones n.k
Kama utapenda anza kujifanyia uchunguzi wewe mwenyewe ili ujue kipi haswa kinawezakuwa chachu ya mabadiriko ya tabia zako!.
Angalia system ya maisha huenda ikawa inakubadili hivyo aidha hupendi maisha unayoishi,unajua hata vyakula huumba tabia zako maana chakula pia ni mjengeko wa hormones zako!.

Hormones.. hapa naweza kuandika mengi ila hizi zinahusisha utaalum zaidi hivyo ingefaa upimwe hormones zako na hapa ndipo utapata ushauri murua kama zitakuwa hazijabalance! Tena kwa sisi me hormones ya testosterone isipo balance mambo mengi sana huibuka!.. nikipata nafasi nitakuja kulianzishia uzi hili siku moja.


Ushauri wangu naoutilia mkazo ni kuwa Tafuta mwanasaikolojia akusaidie.
Nashukuru kwa ushauri[emoji120]
 
Nakushauri LIVE YOUR LIFE

Hakunaga binadamu aliependwa na watu wote duniani humu,huyo hayupo..
Hajawahi tokea na wala hatokuja atokee..
Yesu,Muhammad, Mussa nk pamoja na kuwa walikuwa karibu sana na Mungu na kufanya mema na mazuri,lakini bado hawajahi kupendwa na watu wote.

Hadi Leo hii kuna nyuzi nyingi tu za kuwakashifu na kuwaondolea heshma zao sasa sembuse mm na ww mkuu?

Hutokuja kuwapendeza wala kuwafurahisha watu wote,cha msingi jua kuwa hili ninalofanya zuri or baya na kwa lengo lipi basi.
Ukimkosea MTU muombe msamaha ili nafsi yako isisononeke na kuumia,na kama ukimuomba msamaha akikataa basi nenda kwa amani na shughuli zako.
Nashukuru kwa ushauri
 
Iweni hodari katika kulijenga Taifa tukufu la Tanzania. Wasalaaam ndugu zangu[emoji120][emoji120]

Bila ya kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika.

"Sijielewi" naam ni kweli sijielewi silipingi hilo ndani ya nafsi yangu najishuhudia mwenyewe kwa dhati kabisa na hii ndiyo sababu ya kuandika huu uzi.

Kuna muda nakuwa mtu wa haki sana, nasalimu wazee, nawachangamkia,nawasaidia na kufurahi pamoja nao. hii ni kwa maeneo ninayokaa na kwa sehemu ninazo tembelea.

Kuna muda nafurahi na marafiki na watu wa karibu na marafiki zangu, nawasaidia na kufanya kila kilicho kizuri pamoja nao hii ni kwa maeneo ninapokaa na maeneo ninayotembelea.

Dosari inakuja pale ambapo nabadilika na kuwa wa aina tofauti na mwanzo. Hali hii hustahimili muda mrefu kuliko vile ambavyo na kuwa mtu wa haki.

Napungukiwa na moyo wa kufurahi na marafiki mara nyingi zaidi ya vile ambavyo nakuwa na huo moyo.

Namshukuru MUNGU amenipa moyo wa huruma kuwasaidia watu lakini kwa muonekano wa sura yangu ambao hudumu kwa muda mrefu huleta hisia za woga na chuki kwa baadhi ya marafiki na kusababisha kutokuniambia shida zao. Hapa huwa pananiuma sana and there's nothing I can do to myself.

Hii hali imepelekea mgawanyiko wa watu wanaonizunguka, mfano kuna marafiki zangu wananiona ni mtu mwema na wa haki na baadhi ya wazee wamekuwa wakinisema kuwa nina tabia njema lakini pia kuna baadhi ya marafiki na wazee wanazungumza tofauti (vibaya).

Hii hali inaniumiza sana and there's nothing i can do to myself. Honestly speaking nahitaji msaada wa mawazo nifanyaje?

Nahitaji muendelezo mzuri wa tabia njema japo naona nashindwa kabisa, au kama watu wa aina hii wapo na mim nikiwa mmoja wapo, nifanyeje ili niweze kuishi pasipo kuwa na msongo wa mawazo nilio nao?

Naomba kuwasilisha[emoji120][emoji120]
Bipolar disorder
 
Iweni hodari katika kulijenga Taifa tukufu la Tanzania. Wasalaaam ndugu zangu[emoji120][emoji120]

Bila ya kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika.

"Sijielewi" naam ni kweli sijielewi silipingi hilo ndani ya nafsi yangu najishuhudia mwenyewe kwa dhati kabisa na hii ndiyo sababu ya kuandika huu uzi.

Kuna muda nakuwa mtu wa haki sana, nasalimu wazee, nawachangamkia,nawasaidia na kufurahi pamoja nao. hii ni kwa maeneo ninayokaa na kwa sehemu ninazo tembelea.

Kuna muda nafurahi na marafiki na watu wa karibu na marafiki zangu, nawasaidia na kufanya kila kilicho kizuri pamoja nao hii ni kwa maeneo ninapokaa na maeneo ninayotembelea.

Dosari inakuja pale ambapo nabadilika na kuwa wa aina tofauti na mwanzo. Hali hii hustahimili muda mrefu kuliko vile ambavyo na kuwa mtu wa haki.

Napungukiwa na moyo wa kufurahi na marafiki mara nyingi zaidi ya vile ambavyo nakuwa na huo moyo.

Namshukuru MUNGU amenipa moyo wa huruma kuwasaidia watu lakini kwa muonekano wa sura yangu ambao hudumu kwa muda mrefu huleta hisia za woga na chuki kwa baadhi ya marafiki na kusababisha kutokuniambia shida zao. Hapa huwa pananiuma sana and there's nothing I can do to myself.

Hii hali imepelekea mgawanyiko wa watu wanaonizunguka, mfano kuna marafiki zangu wananiona ni mtu mwema na wa haki na baadhi ya wazee wamekuwa wakinisema kuwa nina tabia njema lakini pia kuna baadhi ya marafiki na wazee wanazungumza tofauti (vibaya).

Hii hali inaniumiza sana and there's nothing i can do to myself. Honestly speaking nahitaji msaada wa mawazo nifanyaje?

Nahitaji muendelezo mzuri wa tabia njema japo naona nashindwa kabisa, au kama watu wa aina hii wapo na mim nikiwa mmoja wapo, nifanyeje ili niweze kuishi pasipo kuwa na msongo wa mawazo nilio nao?

Naomba kuwasilisha[emoji120][emoji120]
Pesa peke yake ndio inakubalika kwa watu wote lakini haijawahi kutokea mtu akakubalika kwa watu wote.
 
Back
Top Bottom