4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Tulisha sema mkuu Chadema wa kujalibu kuiombea mabaya,au kufanya mipango ya kuumiza Chama, atatumia na kupotea Yeyeumekalia kigogo halafu unasema hamna kitu
Chadema ichi sio mchezo, hivi watu mbona hawajifunzi , waliokinenea mabaya ,na kutaka kifutike wako wapi? Ndo kwanza wamepotea kisiasa, waliobaki wapo hata nyuso zao hazina furaha, nao ni swala la mda
Unachezaje na Chama ,ambacho watumishi wa mungu, wazee,vijana, mpaka waliomwaga dam , waliopoteza maisha KWA ajili ya Chama roho zao zipo juu ya Chama ichi, mtapoteana,
Alafu bado mtu KWA kua ana madaraka ,anajitutumua kupambana na chadema , vyombo vya DOLA navyo wanajiingiza KWENYE mtego huu, bila kupima madhala Kama watumishi wa umma kwenye Taifa, Kisa kutekeleza matakwa ya wanasiasa, ambao huja na kuondoka, wakati nyie kwenye utumishi mpo mpaka mtakapo staafu KWA mjibu wa sheria za utumishi wa umma
Mnakosea Sana watumishi wa umma kutotanguliza Taifa mbele,
Nchi hii ilikuwa ya wafanyakazi na wakulima ,leo imekuwa ya wanasiasa, na nyie watumishi msiokua wazalendo na Taifa Ndo mmesaidia ubatizaji huo KWA wanasiasa, KWA kushindwa timiza wajibu wenu KWA mjibu wa sheria na taratibu, bali mnatimiza majukum KWA maelekezo ya wanasiasa,
Na Kama ndivyo KWA nini Mungu awape baraka, na kuwa na vipato bora, BIG No mtafanya kazi ila mtakufa maskini