dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,873
aiseeNa hapo usikute kwa mpalange alikua anahudhuria...lazima iume
aiseeNa hapo usikute kwa mpalange alikua anahudhuria...lazima iume
Relax,Wewe ni mrembo na kama hukuweza kutambua hilo means you are not a bitch which means you are a special woman and the guy did not deserve you ndo maana akakwambia ukweli.MORAL of the story,ITS okay to fall in love even wth wrong people it means you are still a human.May GOD give you strength.Habari ndugu zangu!
Nimeachana na mtu niliekua nampenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja.
Last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa muda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nimekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nimeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale.
Nimefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia, najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Kama unampenda hangaika kwa watalaamu atarudi yaani watamfarakanisha na huyo aliyekua naye then akurudie wewe
Kwa mwanamke muda ni kitu adimu sanaaa mkuu kwa sisi wanaume miaka hiyo miwili unaweza kuona si kitu ila kwa mwanamke ni gape moja kubwa sanaaa.Dada si bora umeambiwa ukweli, hadi hapo ni jambo la kushukuru badala ya kuendelea kuumia...
Miaka miwili sio mingi kwamba umepoteza sana muda...
Sioni kama kuna shida, maana kama mnapendana, muoane. Uwe mke wa pili.Habari ndugu zangu!
Nimeachana na mtu niliekua nampenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja.
Last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa muda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nimekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nimeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale.
Nimefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia, najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Si ana maumivu ya mapenzi hadi kichwa inawaka motoKwa hiyo sindano za tramadol ndio zinakuletea usingizi?
Pelekea mgonjwa chakula wewe, kalazwa wodi namba tatuHaki Mungu aniepushie mbali huo wazimu.
Itakuwa jamaa mambo safi, dada alishaanza jenga maghorofa ya kufikirikaKama ni muslim basi amuoe kama mke wa pili:
Lakini bado sioni sababu ya kuumia hivyo wakati amemwambia ukweli yeye ni mume wa mtu.
Ajipe moyo naye atapata wakel
Tramadol? Ni dawa ya usingizi siku hizi?Habari ndugu zangu!
Nimeachana na mtu niliekua nampenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja.
Last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa muda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nimekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nimeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale.
Nimefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia, najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Miaka miwili hata kwake hajawahi kupeleka? We nae.
Hahahaha itakuwa hivyoSi ana maumivu ya mapenzi hadi kichwa inawaka moto
HayajakukutaHivi wengine mnapendaje hivyo!!!
Sijui ishafika km bilioni jomoniii,..😭😭Maza yako inasoma ngapi?
😔Hiyo sentence yako ya mwisho nimecheka sana
PoleHabari ndugu zangu!
Nimeachana na mtu niliekua nampenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja.
Last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa muda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nimekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nimeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale.
Nimefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia, najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Bora umwambieDada si bora umeambiwa ukweli, hadi hapo ni jambo la kushukuru badala ya kuendelea kuumia...
Miaka miwili sio mingi kwamba umepoteza sana muda...
shikamoo duKama unampenda hangaika kwa watalaamu atarudi yaani watamfarakanisha na huyo aliyekua naye then akurudie wewe