Sijawahi kupanda ndege

Hio ni kwasababu ya pressure. Vindege vidogo havins pressurized cabin sasa rubani hatakiwi kuruka juu sana vinginevyo tofauti ya pressure itawazibua masikio. Ila marubani wengine wanaruka juu kubania mafuta ndio matokeo yake wanaumiza abiria masikio kwasababu ya pressure.

Ndege kubwa zina pressurized cabin ndio maana zinaruka hadi 30,000ft
 
Na wewe safari ya nusu saa au one hour unataka ule,unywe kisa umepanda ndege?

Budget airline nyingi wanauza refreshments.
wala sikutaka kula nilisikia tu kiu Maji madogo akaniuzia buku mbili wakati kwenye basi zile luxury Maji soda ni buree niliwaza tu coz it waz first time ahaaaa ila kwa sasa sinaga time nao
 
wala sikutaka kula nilisikia tu kiu Maji madogo akaniuzia buku mbili wakati kwenye basi zile luxury Maji soda ni buree niliwaza tu coz it waz first time ahaaaa ila kwa sasa sinaga time nao
Nakuzingua tu....
 
Kumbe simpo tu
 
Aisee me pia sijavunja hiyo record....
ngoja nianze kuweka buku buku kwenye kibubu hadi zifike.

Daah parefuu!!!
 
Air Hostess was FN wanadanga sana asee. Mpaka aibu sijui hawalipwi vizuri
 
Dah naziona zikipaaa tu nakusimuliwa ni watu washaopanda jaman tuombeen na sisi tupae kwa ndege.
 
Mkuu hujaleta mrejesho ulifanikisha au bado unazichanga
 
Selfie ruksa mixer ukitaka kufaidi ikishakaa sawa kule juu nenda hadi chooni ukajionee si unajua tena ushamba mzigo

Na asisahau kujisaidia angani asiogope kinyesi hakitaangukia watu vichwani , ajue kuwa hilo pia wanaruhusu pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…