Hili nalo neno[emoji16][emoji16][emoji16]ulishawahi kuona msiba wa albino. ....[emoji16][emoji16][emoji16]
Nimekusoma mkuuWakuu salaam kwenu kama Kichwa hapo juu kinavyojieleza
Katika arusi zote nilizo shuhudia sijawahi ona bibi arusi mnene wakati mtaani wamejaa wadada vibonge najiuliza hao walioorewa huwa wananenepa baada ya kuolewa naje hawa wadada vibonge ambao bado hawajaolewa huwa hawaolewi kwa kufanya arusi au wanafungaga ndoa zile za kimila ambazo watu huwa wanaowana kimya kimya au kuna mazoezi wanayofanya hadi kuwa wembamba au vibonge huwa hawafanyiwi arusi au ni macho yangu mm naonaga ni wembamba na wale saizi ya kati ambao sio wanene au wembamba nao ni wachache vp kuhusu nyie wanajamvi huwa mnazishuhudia arusi za wanawake vibonge uko kwenu?
Kama unayo picha ya bibi arusi kibonge weka
Wakuu salaam kwenu kama Kichwa hapo juu kinavyojieleza
Katika arusi zote nilizo shuhudia sijawahi ona bibi arusi mnene wakati mtaani wamejaa wadada vibonge najiuliza hao walioorewa huwa wananenepa baada ya kuolewa naje hawa wadada vibonge ambao bado hawajaolewa huwa hawaolewi kwa kufanya arusi au wanafungaga ndoa zile za kimila ambazo watu huwa wanaowana kimya kimya au kuna mazoezi wanayofanya hadi kuwa wembamba au vibonge huwa hawafanyiwi arusi au ni macho yangu mm naonaga ni wembamba na wale saizi ya kati ambao sio wanene au wembamba nao ni wachache vp kuhusu nyie wanajamvi huwa mnazishuhudia arusi za wanawake vibonge uko kwenu?
ahahaa kweli hapo kwa dieti sio issueKila mtu anataka picha zipendeze siku ya harusi, maana hata wajukuu wataziona kama ni majaaliwa. Ukishaona jamaa yuko serious na mahari imelipwa unaanza kushinda na njaa. Wengine wanafunga kabisa kumuomba Mungu awajalie safari njema kwenye ndoa, lakini yote hayo matokeo yake ni kuwa ki portable.Unakumbuka ile style ya bwana harusi kumbeba bibi harusi beach, sasa kama umehifadhi kilo za mafuta nani ataweza kukubeba zaidi ya Power Mabula.
Hehee hii y mwsho mission must b impossibleWapo ila baadhi
Pia wengi wakijua ni wanene huvaa mavazi ya kuficha ule unene iliapendeze mana ile sView attachment 402709View attachment 402710iku muhimu na hajirudiiView attachment 402708
Bado,,,,,,,, bado,,,,,, bado,,,,[emoji16][emoji16][emoji16]ulishawahi kuona msiba wa albino. ....[emoji16][emoji16][emoji16]
Wapo ila baadhi
Pia wengi wakijua ni wanene huvaa mavazi ya kuficha ule unene iliapendeze mana ile sView attachment 402709