Sijawahi kukojoa tangu nianze kusex

Sijawahi kukojoa tangu nianze kusex

habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 18 sijawahi kukojozwa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.
Kunywa maji mengi sana tu .
 
Tatzo unakuja na dk 5 baba ako asijue umetoka alafu ukojozwe
 
Uko mkoa gani?? Ilikuwa mwanamume wa wapi kwanza na wewe?? Unajua nini kuhusu kuandaliwa kisawasawa?? Maandalizi mazuri hata kabla ya tendo tiyari ushalowanisha godoro.
 
habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 18 sijawahi kukojozwa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.
inawezekana.
labda unafika mshindo na kukojozwa ukiwa upo karibu na gar.
jaribu njia tofauti
 
Interesting. I am the Journey, I will take you to the new life experience.
 
Ha ha ha haaah! Kuna nyuzi ukisoma unaanza kucheka badala ya kuchangia mada
 
habarini?
mimi ni binti wa miaka 20 tatizo langu ni kwamba tangu nianze kufanya mapenzi nikiwa na umri wa miaka 18 sijawahi kukojozwa wala kufika kileleni hata kama nitaandaliwa vizuri lakin bado sijui ndo inakuaje hadi mtu anakojoa. naombeni msaada jamani nifanyeje ili niweze kukojoa wakati wa tendo au kama kuna dawa ni ipi niweze kutumia.

Kunya kwanza, utakojoa tu......
 
Back
Top Bottom