mtoto mdogo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 501
- 130
Huu si utani ni kweli.
Mimi ni mwanaume Kutokana na maisha ya kilokole niliyoyaishi nina miaka 24 sasa na sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yeyote but mwanzoni mwa mwaka huu kuna binti nilikua naye kwenye mahusiano.
Siku nikamkaribisha gheto ninapoishi ile kukaa nae chumbani mimi na yeye tukashawishika nikamvua nguo zote akalegea ile nataka kuanza akasema usifanye hivo tutamkosa Mungu.
Daaah si nikaacha. So nitakua mzima kweli mimi?
Nisaidieniiii
Mimi ni mwanaume Kutokana na maisha ya kilokole niliyoyaishi nina miaka 24 sasa na sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yeyote but mwanzoni mwa mwaka huu kuna binti nilikua naye kwenye mahusiano.
Siku nikamkaribisha gheto ninapoishi ile kukaa nae chumbani mimi na yeye tukashawishika nikamvua nguo zote akalegea ile nataka kuanza akasema usifanye hivo tutamkosa Mungu.
Daaah si nikaacha. So nitakua mzima kweli mimi?
Nisaidieniiii