sampuli ka hii ndiyo eti ipewe uwaziri 2015, aisee Tanzania imekuwa kichwa cha kujivunzia kunyoa. sorry to say that ila yamenifika. mtu hujijui hata position yako katika jamii na upo ndani ya chama gani, je kina sifa gani katika taifa letu, pandikizi kuu la siasa za chuki nchini.