Sijaona tapeli kama Gwajima

Sijaona tapeli kama Gwajima

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,429
1755321448922.png

Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
 
View attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
Umeandika kama mpumbavu wa wapumbavu.....he is coming back for you in few days
 
Huu mwaka Somalia ndo mahala penu salama ni mwendo wa Spana kila kukicha.....
 
View attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
Jinga ww
 
View attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.

Umeandika kwa makasiriko sana bila shaka anachosema Gwajima kimekuingia vilivyo. Mbona bado, subirini kufikia 15/8 !
 
View attachment 3442704
Baada ya domo lake kumponza, sasa Gwajima anatapatapa na kutafutwa kuonewa huruma. Anabwabwaja akidhani watu wote ni mazwazwa kama yeye. Anasema hili leo na kesho lile. Anajipiga mitama mwenyewe. Sasa acha akione cha moto na asionewe huruma wala kuaminiwa. Alidhani angewatapeli CCM asijue ni magwiji katika jinai hii.
Safari hii kazi mnayo. Huku Polepole, huku Gwajima, kule nako kuna Mpina! Si mlifikiri mkimfunga Lissu na kuizuia Chadema kufanya shughuli zake za kisiasa mtapata mteremko?
Tulieni! Hatutaki kelele.
 
Sindano ni dongo lakini ukipenyezewa inauma lakini vile vile inatibu. hata kama una gono, kwishaaa!! Gwajima endelea na next episode. Yaani dozi ya pili! Kuna watu humu wanasikilizia dozi ya kwanza. Alhamdulillah watapona tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom