Sijaona sera ya CCM kwenye dawa za kulevya

Sijaona sera ya CCM kwenye dawa za kulevya

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,145
Reaction score
831,817
Walau wasingepitiwa na hili janga la taifa linaloangamiza kizazi cha kesho ambacho ndio nguvu kadi tegemewa ya taifa.

Je, ni kupitiwa ama kwakuwa wamehamanika?
FB_IMG_1756449217436.jpg
 
Mfumo una mpango mkakati maalum wa kiwango sahihi cha upatikanaji wa madawa ya kulevya na pombe za hovyo kwa ajili ya kutengeneza kundi la vijana legelege, magoigoi na wasioweza kufikiri vyema.

Kwa ufupi kuharibika kwa vijana Kuna faida sana kwa mfumo wa utawala wa CCM.

Watawala wanahofia kundi kubwa la vijana likiamka litahoji na itakuwa ni changamoto kwa utawala.

Pombe, bangi, kamari, soka n.k hutumika kama madawa ya kulevya pia.
 
Ahsante kwa kuumga mkono kampeni za CCM

Maoni au Manung’uniko yakp tumeyapokea na yatafanyiwa kazi kikamilifu

Usisahau October tuna✔️
 
Unafikiri wale waliochangia Chama pale Mlimani City walikuwa wazuri, wale ndiyo Mapapa hatari kwa biashara za aina zote.

Ukishawakaribisha wale kwenye jambo lako ni ngumu kuingilia biashara zao haramu.
 
Back
Top Bottom