Sijaona sababu za msingi za kukurupuka kwenda Dodoma, za kwangu kwanini mmekurupuka ziko hapa ndani

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Tunakili kwamba zipo sababu zilizopelekea mwalimu Nyerere kupendekeza Dodoma kuwa makao makuu ya nchi na sababu kwa kipindi kile zilikuwa na maana zaid kuliko muda huu

KWANZA TUKILI KWAMBA HATA MWINYI ALIHAMIA MIEZ SITA AKAGEUZA HAHAH
SABABU ZA MSINGI ILIKUWA NI
1.Kuweka ukaribu wa kufikika kwa urahisi ofisi mbali mbali za serikali kwa muda muafaka lakin kwa sasa sababu hii haina msingi tena maana kipindi cha mwalimu mambo yote yalifanyika analogically lakini muda huu kila kitu japo kiko centralized lakin kiko kidigitali zaid,
A. haimulazimu mwanafunzi anaye apply chuo kusafiri kwenda TCU iliyo DSM kuapply siku hizi ni kwa njia ya mtandao,
B. haimlazimu mtu anayetaka kupimiwa kiwanja kwenda dar es salaam maana kila mkoa una maafisa ardhi
c.Haimuitaji mtu kwenda dar es salaam kuapata passport au pass ya kusafiria kama zamani maana hata mikoani wanapata na wanatoa,
D. Kuhamia dodoma hakutasababisha watu waacche kwenda DSM kufuatilia Visa kwenye balozi mbali mbali maana balozi zote zipo dsm
E. makao makuu kuhamia dodoma haimaanishi kwamba wafanya biashara wakubwa ataenda dodoma maana dsm ni mji tegemezoi kwa wafanya biashara,

SUALA LA PILI ILIKUWA ULINZI WA RAIS
Kwa zama hizi hakuna haja ya kujificha kwamba ulinzi wa raia au kiongozi wa nchi, kwa kipindi kile ilikuwa rais kuweza kuvamiwa kulingana na hali yetu kiteknolojia ilivyokuwa kwa wakati huo, lakini muda huu kuna ulinzi wa kisasa zaid ya ule wa mwalimu Nyerere,

Mpaka sasa sijaona mantiki ya kulazimisha mji mkuu uwe dodoma wakati hali yenyewe haitaki, ni kuingia gharama tu za bule,

Hebu tuangalie Nchi mbali mbali na miji mikuu yake na umbali kutoka kila mwisho wa nchi mpaka mji mkuu ulipo,

1. INDONESIA
Mji mkuu wake unaitwa Jarkata ambao uko ufukweni kabisa yaan upande mwingine ambao ni mwisho wampaka wa indonesia, Lakini kutoka mwisho mwingine mji waBanyuwangi kwenda jarkata ni masaa 21 na dk 30 (1,066.3 km) ikupitia rata pantura kwa kutumia basi za kawaida na hawana mpango kuubadirisha

2.ICELAND mji mkuu Reykjavík umbali wa kutoka Ölfus mpaka Reykjavík ni 51 Kms au31.689921000000002 Miles lakini kutoka upande mwingine wa nchi
pia kutoka upande mwingine wa Dalvík Reykjavík ni km : 413 km, ni masaa 5 ya kuendesha gari mpaka kule wakati mji mkuu uko upande wa mwisho kabisa

3.FRANCE mji mkuu wake mkuu ni Paris lakin kutoka paris ilipo kwenda mwisho mwingine Loriente ni km 51 na pia kwenda mwisho mwingine ni km 261 unaitwa mji wa pazzy sasa hapo si mnaona kwamba haipo kati kati,

4. FINLAND mji mkuu wake ni Helsinki na Upo kabisa ufukweni mwa bahari ndogo ya baltic kama lakin kutoka hapo kwenda mji ulio kaskazini Näsijärv kwa jina umbal
ni kilometer 171

5. Vile vile ukieangalia Jerusalem nchini ISRAEL haipo kati kati
6.Washington Dc USA haiko katikati,
7.Tallin estonia haiko kati kati
8.Moscow Russia haipo kati kati
9.Malaysia Kuala lumpur mji hauko kati kati
10. Singapore mji wake Changi haupo kati ,
Haisee miji ni mingi, najiuliza sisis tunawaza nini hasa kabisa mpaka tunafika hatua ya kukurupuka kufanya mambo haya

HIVI NI SABABU IPI YA MSINGI YA KUUWEKA MJI MKUU DODOMA?
kama ni kumuenzi mwalimu tumuenzi kwa azimio la Arusha mbona mnalikwepa mnakimbizana na mambo ya ajabu,?

uzi usiunganishwe tupate sababu za msingi plz

maana gharama za kwenda dodoma zingeenda kwenye milion 50 za kila kijiji,

NAOMBA UNAYEBISHI UJE NASABABU ZA KWANINI DODOMA UWE MJI MKUU NA SINGIDA MAANA KAMA NI ISHU YA UKATI KATI SINGIDA NDO KATI , ALAFU KWANINI UNA SABABU ZA KUTOUBAKISHA DAR MAANA KUMEJENGEKA TIYARI
 
1. INDONESIA
Mji mkuu wake unaitwa Jarkata ambao uko ufukweni kabisa yaan upande mwingine ambao ni mwisho wampaka wa indonesia, Lakini kutoka mwisho mwingine mji waBanyuwangi kwenda jarkata ni masaa 21 na dk 30 (1,066.3 km) ikupitia rata pantura kwa kutumia basi za kawaida na hawana mpango kuubadirisha

2.ICELAND mji mkuu Reykjavík umbali wa kutoka Ölfus mpaka Reykjavík ni 51 Kms au31.689921000000002 Miles lakini kutoka upande mwingine wa nchi
pia kutoka upande mwingine wa Dalvík Reykjavík ni km : 413 km, ni masaa 5 ya kuendesha gari mpaka kule wakati mji mkuu uko upande wa mwisho kabisa

3.FRANCE mji mkuu wake mkuu ni Paris lakin kutoka paris ilipo kwenda mwisho mwingine Loriente ni km 51 na pia kwenda mwisho mwingine ni km 261 unaitwa mji wa pazzy sasa hapo si mnaona kwamba haipo kati kati,

4. FINLAND mji mkuu wake ni Helsinki na Upo kabisa ufukweni mwa bahari ndogo ya baltic kama lakin kutoka hapo kwenda mji ulio kaskazini Näsijärv kwa jina umbal
ni kilometer 171

5. Vile vile ukieangalia Jerusalem nchini ISRAEL haipo kati kati
6.Washington Dc USA haiko katikati,
7.Tallin estonia haiko kati kati
8.Moscow Russia haipo kati kati
9.Malaysia Kuala lumpur mji hauko kati kati
10. Singapore mji wake Changi haupo kati ,
Haisee miji ni mingi, najiuliza sisis tunawaza nini hasa kabisa mpaka tunafika hatua ya kukurupuka kufanya mambo haya


Usimuige tembo namna ya kuchuchumaa, jikalie kivyako kulingana na mazingira yako, maliza jipanguse jiendee zako
 
Sababu zako hazina mashiko, nchi haifanyi maamuzi sababu nchi nyingine ilifanya hivyo, sisi tunaamua kutokana na mazingira na sababu zetu wenyewe. Mwishoe utasema sababu USA ushoga ruksa Basi na sisi turuhusu.

Vipi Brazil waliohama toka pembezoni Rio De Janeiro to Brasilia ambayo ipo katikati ya nchi.
 
1. Dar imejengeka kwa viwango vya Tanzania. Lakini si kitu kabisa kwanza una mpangilio ovyo

2. Na tukiangalia hali za wananchi wengi kiuchumi, Usafiri wa barabara ndo wanaoutumia na watafika haraka na kwa bei rahis Dodoma kuliko Dar

3. Kama kuna watakao lazmika kwenda dar kufuata visa hao ni wangapi? Tusifanye mambo yetu tukiwalenga hao wachache wanaoenda ulaya

4. Dodoma singida ni kukame. Kwa kuwekeza zaidi pale tunasaidia kupunguza matatizo mengi ya pale kwamfano upungufu wa chakula, maana chakula kitatoka kila upande wa nchi kuja pale,ajira zitazalishwa pia

5. Msiogope kuwa Hamna bahari mabwawa yatajengwa au tujenge
6. Msiogope joto la pale pandeni Miti na hapa nawashauri wenye kuhusika waanzishe operesheni maalum ya kupanda miti Dodoma, patapendeza hamtaamini
7. Dodoma mpaka sasa viwanja ni bei rahisi so kunajengeka kirahisi. Maisha yatakuwa rahisi kwa wafanyakaz wa serikali
8. Usafiri kwa wafanyakaz wa serikali ni rahisi sana Hamna jam kama za Dar
9. Dodoma ni tambarare eneo karibu lote linajengeka na linajengeka kirahisi
10. Sipati Picha kama makao makuu yangekuwa kwenye mji kama Kilimanjaro , kwa jinsi watu walivyo wengi sijui mgeenda kupata wapi viwanja kwa Ujenzi wa makazi yenu
11. Reli ya sgr au libarabara lipana la uhakika kutoka dar mpaka Dom litarahisisha Usafiri wa dar to Dom so nyie mpendao kwenda kujivinjari ufukweni haitakuwa na noma kabisa
12. Kwa kuwa sehemu Kubwa ya dar imepangilika ovyo kabisa sasa serikali iko kwenye nafasi Nzuri kabisa ya kuupangilia mji wa Dodoma na vitongoji vyake vyema na kukaa kisasa zaidi. Na katika hili natamani watu husika walifanyie kazi nataka lasivyo tutakuja kuwa na mji wa ovyo kabisa
13.tunaambiwa Maji Dodoma hapo,
14.itakuwa inachukua muda mfupi kwa gari au hata kwa ndege kwa kiongozi yoyote wa serikali kama vile waziri kusafiri kutoka ofisini kwake kwenda Dodoma. Hata bei ya Usafiri itakuwa chini. Kwasasa kutoka bukoba mpaka dar ni siku mbili. Dar to Mwanza unafika dar Usiku ukiwa hoi kabisa. Lakini ukitokea Dom unafika siku hiyo hiyo na mapema kabisa. Sijajua Usafiri wa mtwara to Dom lakini nadhani haitakuwa that much

Pandeni Miti Dodoma. Patapendeza tu. Acheni ubrazamen na usista duh. Maisha ni popote
 
Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
 
Tatizo aliyekabithiwa kombe ni MSHAMBA.
Mtu ambae hasafiri Nchi za watu kujionea dunia inavyo endeshwaa.

Amekaa ndani kushauriana ujinga na kina bashite, Kigwaa nk

Kila kampan yake ni washamba, kwanini asifikirie na kufanya mambo ya hovyooooo?
 
Sababu zako hazina mashiko, nchi haifanyi maamuzi sababu nchi nyingine ilifanya hivyo, sisi tunaamua kutokana na mazingira na sababu zetu wenyewe. Mwishoe utasema sababu USA ushoga ruksa Basi na sisi turuhusu.
Sababu zetu wenyewe ni zipi?
 
Ukipinga sana watasema wewe sio mzalendo, ukiendelea kupinga watasema wewe ni mchochezi, kiufupi hutakiwi kuuliza sana kwenye awamu hii.
 
Tunakili kwamba zipo sababu zilizopelekea mwalimu Nyerere kupendekeza Dodoma kuwa makao makuu ya nchi na sababu kwa kipindi kile zilikuwa na maana zaid kuliko muda huu

KWANZA TUKILI KWAMBA HATA MWINYI ALIHAMIA MIEZ SITA AKAGEUZA HAHAH
SABABU ZA MSINGI ILIKUWA NI
1.Kuweka ukaribu wa kufikika kwa urahisi ofisi mbali mbali za serikali kwa muda muafaka lakin kwa sasa sababu hii haina msingi tena maana kipindi cha mwalimu mambo yote yalifanyika analogically lakini muda huu kila kitu japo kiko centralized lakin kiko kidigitali zaid,
A. haimulazimu mwanafunzi anaye apply chuo kusafiri kwenda TCU iliyo DSM kuapply siku hizi ni kwa njia ya mtandao,
B. haimlazimu mtu anayetaka kupimiwa kiwanja kwenda dar es salaam maana kila mkoa una maafisa ardhi
c.Haimuitaji mtu kwenda dar es salaam kuapata passport au pass ya kusafiria kama zamani maana hata mikoani wanapata na wanatoa,
D. Kuhamia dodoma hakutasababisha watu waacche kwenda DSM kufuatilia Visa kwenye balozi mbali mbali maana balozi zote zipo dsm
E. makao makuu kuhamia dodoma haimaanishi kwamba wafanya biashara wakubwa ataenda dodoma maana dsm ni mji tegemezoi kwa wafanya biashara,

SUALA LA PILI ILIKUWA ULINZI WA RAIS
Kwa zama hizi hakuna haja ya kujificha kwamba ulinzi wa raia au kiongozi wa nchi, kwa kipindi kile ilikuwa rais kuweza kuvamiwa kulingana na hali yetu kiteknolojia ilivyokuwa kwa wakati huo, lakini muda huu kuna ulinzi wa kisasa zaid ya ule wa mwalimu Nyerere,

Mpaka sasa sijaona mantiki ya kulazimisha mji mkuu uwe dodoma wakati hali yenyewe haitaki, ni kuingia gharama tu za bule,

Hebu tuangalie Nchi mbali mbali na miji mikuu yake na umbali kutoka kila mwisho wa nchi mpaka mji mkuu ulipo,

1. INDONESIA
Mji mkuu wake unaitwa Jarkata ambao uko ufukweni kabisa yaan upande mwingine ambao ni mwisho wampaka wa indonesia, Lakini kutoka mwisho mwingine mji waBanyuwangi kwenda jarkata ni masaa 21 na dk 30 (1,066.3 km) ikupitia rata pantura kwa kutumia basi za kawaida na hawana mpango kuubadirisha

2.ICELAND mji mkuu Reykjavík umbali wa kutoka Ölfus mpaka Reykjavík ni 51 Kms au31.689921000000002 Miles lakini kutoka upande mwingine wa nchi
pia kutoka upande mwingine wa Dalvík Reykjavík ni km : 413 km, ni masaa 5 ya kuendesha gari mpaka kule wakati mji mkuu uko upande wa mwisho kabisa

3.FRANCE mji mkuu wake mkuu ni Paris lakin kutoka paris ilipo kwenda mwisho mwingine Loriente ni km 51 na pia kwenda mwisho mwingine ni km 261 unaitwa mji wa pazzy sasa hapo si mnaona kwamba haipo kati kati,

4. FINLAND mji mkuu wake ni Helsinki na Upo kabisa ufukweni mwa bahari ndogo ya baltic kama lakin kutoka hapo kwenda mji ulio kaskazini Näsijärv kwa jina umbal
ni kilometer 171

5. Vile vile ukieangalia Jerusalem nchini ISRAEL haipo kati kati
6.Washington Dc USA haiko katikati,
7.Tallin estonia haiko kati kati
8.Moscow Russia haipo kati kati
9.Malaysia Kuala lumpur mji hauko kati kati
10. Singapore mji wake Changi haupo kati ,
Haisee miji ni mingi, najiuliza sisis tunawaza nini hasa kabisa mpaka tunafika hatua ya kukurupuka kufanya mambo haya

HIVI NI SABABU IPI YA MSINGI YA KUUWEKA MJI MKUU DODOMA?
kama ni kumuenzi mwalimu tumuenzi kwa azimio la Arusha mbona mnalikwepa mnakimbizana na mambo ya ajabu,?

uzi usiunganishwe tupate sababu za msingi plz

maana gharama za kwenda dodoma zingeenda kwenye milion 50 za kila kijiji,

NAOMBA UNAYEBISHI UJE NASABABU ZA KWANINI DODOMA UWE MJI MKUU NA SINGIDA MAANA KAMA NI ISHU YA UKATI KATI SINGIDA NDO KATI , ALAFU KWANINI UNA SABABU ZA KUTOUBAKISHA DAR MAANA KUMEJENGEKA TIYARI
Ni mtazamo wa kila MTU na kila kitu kinasababu hasi na chanya, inawezekana ukawa na sababu hasi lakini mwingine akawa na sababu chanya.ofisi za umoja wa mataifa zimefunguliwa jana Dodoma hivyo hata balozi nazo zitafungua tu
 
Back
Top Bottom