Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,159
- 1,054
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
huwezi kumwelewa kwa sababu wewe upo bavicha.
Kwa mtu mwenye akili timamu lazima kajiuliza hilo swali, siasa zetu ni za wendawazimu. Soma comment ya mwa4 anajielewa?
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
Kwa mtu mwenye akili timamu lazima kajiuliza hilo swali, siasa zetu ni za wendawazimu. Soma comment ya mwa4 anajielewa?
kiukweli inachanganya.sijajua kwa wale walio chama kimoja ndani ccm wamelichukuliaje jambo lile.
binafsi nalichukulia kama vile ndio ameanza kampeni za nje na ndani za kuwania urais.
huwezi kumwelewa kwa sababu wewe upo bavicha.
huwezi kumwelewa kwa sababu wewe upo bavicha.
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
Hivi unajua nani alileta hoja ya kufuta ushuru wa boda boda bungeni?au kwakuwa leo mnaona kavaa kofia ya ccm ndio inawakeleketa?
Na pia hakuomba kwenda,aliombwa,je unajua mkataba wake na viongozi wa boda boda ukoje! Arghhhhh,
kwahiyo walio muomba ndiyo walimwambia avae kofia ya chama? pia na wale wote walio kuwa wanautangaza na kuunadi ikiwemo clouds nk, kumbe walikua wanamsaid mh.kuitangaza ccm! pia unaniaminisha nisema clouds ni chombo cha ccm kama ilivyo uhuru?
angalia hata nao boda boda nguo zao za njano... hii kitu iliandaliwa na uvccm[/QUO
By Noel france
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
By Hebie
Kwa mtu mwenye akili timamu lazima kajiuliza hilo swali, siasa zetu ni za wendawazimu. Soma comment ya mwa4 anajielewa?
Hivi unajua nani alileta hoja ya kufuta ushuru wa boda boda bungeni?au kwakuwa leo mnaona kavaa kofia ya ccm ndio inawakeleketa?
Na pia hakuomba kwenda,aliombwa,je unajua mkataba wake na viongozi wa boda boda ukoje! Arghhhhh,
umemuelewa mzee wa lb7
angalia hata nao boda boda nguo zao za njano... hii kitu iliandaliwa na uvccm[/QUO
By Noel france
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
By Hebie
Kwa mtu mwenye akili timamu lazima kajiuliza hilo swali, siasa zetu ni za wendawazimu. Soma comment ya mwa4 anajielewa?
Hivi unajua nani alileta hoja ya kufuta ushuru wa boda boda bungeni?au kwakuwa leo mnaona kavaa kofia ya ccm ndio inawakeleketa?
Na pia hakuomba kwenda,aliombwa,je unajua mkataba wake na viongozi wa boda boda ukoje! Arghhhhh,
umemuelewa mzee wa lb7
huyo mwa4 haelewi anachokisema
watz mkimchagua lowasa nitawashangaa sana.. nitajua nyie akili zenu zimeganda