Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,792
- 6,768
Habarini wana MMU,
Hiki kitu kimenishangaza sana, hivi kwanini wanawake mnaficha sana mambo mengine. Mpenzi wangu nilimrekodi kipindi yupo na wenzake kutoka nyumbani kwao usukumani.
Kilichofanya nirekodi ni swala la kuongea ki lugha mara zote huku na vicheko vya aibu na kunitazama kama wananihurumia, sasa baada ya kupata rekodi nne nilimtafuta mtu mmoja anitafsirie.
Aisehhhh! Nilitokwa jasho kama nataka kutoa roho, eti kipindi kile walikuwa wanatoroka kupitia dirishani wakati wazazi wamelala. Mara dume lililomtoa bikra anataka kumrudia atampa tena maana ana mapenzi matamu, nyingine nikishapata ndoa kwa huyu ndo atanijua nikoje, mara kipindi kile kidogo ningekamatwa na baba chumbani na doi...(niishie hapa)
Yaani hapa nilipo hata hamu imeniishia kumbe ndo mchezo wenu ulikuwa. Siamini tena mwanamke isipokuwa mama yangu NIMEKOMA ngoja niwafukuze hawa kabisa sitaki mashemeji hawa, kazi kukuwadiana hamna jingine.
Ohhh tunataka ndoa si mjioe wenyewe (nina hasira sana.
Hiki kitu kimenishangaza sana, hivi kwanini wanawake mnaficha sana mambo mengine. Mpenzi wangu nilimrekodi kipindi yupo na wenzake kutoka nyumbani kwao usukumani.
Kilichofanya nirekodi ni swala la kuongea ki lugha mara zote huku na vicheko vya aibu na kunitazama kama wananihurumia, sasa baada ya kupata rekodi nne nilimtafuta mtu mmoja anitafsirie.
Aisehhhh! Nilitokwa jasho kama nataka kutoa roho, eti kipindi kile walikuwa wanatoroka kupitia dirishani wakati wazazi wamelala. Mara dume lililomtoa bikra anataka kumrudia atampa tena maana ana mapenzi matamu, nyingine nikishapata ndoa kwa huyu ndo atanijua nikoje, mara kipindi kile kidogo ningekamatwa na baba chumbani na doi...(niishie hapa)
Yaani hapa nilipo hata hamu imeniishia kumbe ndo mchezo wenu ulikuwa. Siamini tena mwanamke isipokuwa mama yangu NIMEKOMA ngoja niwafukuze hawa kabisa sitaki mashemeji hawa, kazi kukuwadiana hamna jingine.
Ohhh tunataka ndoa si mjioe wenyewe (nina hasira sana.