Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
-
- #81
Umenichekesha,ila na wewe una kauchoyo Kwa hiyo ndio ukazila kula?ilibidi ule chap chap
Ila bloangu unamind hadi kwenye misosi???
Hali yako ya maisha ikoje???
Ungezuga,hii nyama tamu tuongeze sahani nyingine nitashare bill...Hali yangu ya maisha iko vizuri dear
Na Ndio maana nikamuachia ale yeye
Maskini,halafu utasikia wanatupondea wanawake hatuna huruma.Hapana nilimuonea huruma na nilinotice hajala ndo maana nikamuachia nikazuga am on a diet
Wewe ndo wale wale hamna cha kuchangia zaidi ya kutoa pussy na mwanaume akiomba mtoko huwa mnafanya kama kukomoa ivi kwann usinge chagua sehem nzuri ya bei rahisi? Kwanza jamaa angekuona una akili sana hata mshikaj huko alipo na yeye atakuwa amefuta na namba yako kabisa!
Nilimuombaga dem mmoja mtoko akakubali nikampa location tutakapo kwenda akasema mbona mbali sana gari yake haina mafuta nikamwambia usijali nitakutumia hela ya wese akasema poa nilichokifanya nikasema ngoja nione huyu ni mwanamke wa aina gani nilimtumia 30k nikamwambia weka mafuta hiyo akajibu sasa 30k itatosha mafuta gani na gari yake ina engine kubwa asee hapo hapo nikasema basi baki huko ulipo mimi nitakufata nilivyokata simu tu nikafuta na namba stupid kabisa! Yani 30k ya mafuta yeye anaona ni ndogo mbona hakuwa nayo sasa
Lini utaleta Uzi usisahu kunitagMwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.
Una akili sanaWewe ndo wale wale hamna cha kuchangia zaidi ya kutoa pussy na mwanaume akiomba mtoko huwa mnafanya kama kukomoa ivi kwann usinge chagua sehem nzuri ya bei rahisi? Kwanza jamaa angekuona una akili sana hata mshikaj huko alipo na yeye atakuwa amefuta na namba yako kabisa!
Nilimuombaga dem mmoja mtoko akakubali nikampa location tutakapo kwenda akasema mbona mbali sana gari yake haina mafuta nikamwambia usijali nitakutumia hela ya wese akasema poa nilichokifanya nikasema ngoja nione huyu ni mwanamke wa aina gani nilimtumia 30k nikamwambia weka mafuta hiyo akajibu sasa 30k itatosha mafuta gani na gari yake ina engine kubwa asee hapo hapo nikasema basi baki huko ulipo mimi nitakufata nilivyokata simu tu nikafuta na namba stupid kabisa! Yani 30k ya mafuta yeye anaona ni ndogo mbona hakuwa nayo sasa
Bro hilo tundu lina thamani kwa wale wanaojua thamani yao pekeeLile tundu kwa wajanja halina thamani tena....
Wanawake wa sasahivi wanajitukuza Sana na sisi wanaume tunawatukuza Sana maana watafanya Kila liwezekanalo Ili mwanaume aonekane wa ajabu.Watasema wanaume wanawakosea sijui wajirekebishe hapa mara hapa.Swali langu Ina maana Hawa wanawake hawana makosa au ndyo wametuzidi akili?
Acheni kuwapa vichwa
Mara
1 Jinsi ya kumridhisha mwanamke
2 Jinsi ya kufanya dating na mwanamke iwe nzuri
3 Jinsi ya kumfanyia hivi mara vile mwanamke.
Ni upuuzi mtupu.Ishini kadri ya uwezo wenu.Kumfanya mwanamke sanamu mwanamke hakutakupeleka popote.
Sawa mKuuLini utaleta Uzi usisahu kunitag
Ohhh..It’s not what you think
Uyu alikua ananitaka tuingie kwenye relationship ila Bado nilikua sijamkubalia
Sasa ndo akaona Sijui akisema choose any place Sijui nini ndo mm ntalainika kumbe kaharibu mwanaume yule asiejiamini
Na kibaya zaidi Hana sasa hata elfu 10 mfukoni.
Wenye mbwembwe kama zako huwa hsmna lolote.Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.
Dadeki yaani nikwambie uchague sehemu yoyote!!
Kwa hali hii ya sasa, ukiona nimekupeleka sehemu basi jua bei za hapo nazijua vizuri hata uagize nini vinalipika.
Na napenda wale wa kuvunga vunga ooh we niagizie tuu.
Unataka jamaa akimbie bill?Ohhh..
But next time ikikutokea kama hivyo, agiza chakula kingine, yaan wakat jamaa anafakamia pale unaagiza plate nyingine alafu kaa zako kimya.
Akikutoa Tena Dinner Niite Mbwa.. Mwanaume anakupima Ww ni mtu wa Namna Gani siku ya Kwanza Tu ... Hapo keshaona Huyu hanifai kwenye Shuda na Raha.. Maana Siku akikosa Utaleta Uzi tena humuYani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.