Siipendi CHADEMA

Heeeeeeee!!!!!!!!
Umezidi nawe lazima yakulipue,unamfuatilia nini Dr au ndo unataka umng'oe kucha.

Naskia baada ya katibu mrefu kumaliza meno ya tembo, akina Hu Jintao wamewaambia hata kucha na meno ni dili pia ndo maana wamebadili mwelekeo, inabidi tutengeneze HELMET za kuvaa kwenye vidole na mdomoni ili kulinda meno na kucha zetu..
 
Machadema ni janga kwa amani ya nchi yetu. Tuwakatae na tukatae sumu zao na tindikali zao
 

mkuu falsafa yako imetulia sana
 
Mkuu chama, kuna cha kienyeji huku kinaitaji kupozwa.
 
Last edited by a moderator:
Naskia baada ya katibu mrefu kumaliza meno ya tembo, akina Hu Jintao wamewaambia hata kucha na meno ni dili pia ndo maana wamebadili mwelekeo, inabidi tutengeneze HELMET za kuvaa kwenye vidole na mdomoni ili kulinda meno na kucha zetu..

Duuuuuuhhhhhh.......sasa watahamia kwenye vishitobe.
 
Baba V hapo kwa mtu kuiweka / kuifunga familia yote sababu ya nyumba ndogo Ritz hataongea make linamgusa

Anaifahamu fika.. katukosesha watu burudani uraiani kisa kugombea mbunye.. aaaargh...!! kile chama majanga kila kona...
 

peleka up.u.mb.f wako magwanda mkubwa,hio lugha yako ya falsafa kamfumbe kiongozi wako anaeenda hija na k.m.a.d.a.
 
Naona unanisogezea mtoto. WABHEJASANA mwanawane..

Ndio Mkuu kwa sababu naona anakufaa sana tu,kwa sababu nikiangalia picha yako na yake nilizozikuta sehemu flani naona naona mnaendana tena ni saizi yako kwelikweli au nikuwekee hapa mkuu uone?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…