Siipendi CHADEMA

Unajua lakini kama Dr Slaa kaitelekeza familia yake na kesi ipo mahakamani?

Kuna mwingine aliweka ndani familia nzima kisa baba wa familia kamgongea kidemu chake cha sinza. ni UDHAIFU wa hali ya juu..
 
Mkuu Mingoi, unafiki wangu unatoka wapi tena wakati nmeweka wazi kwamba siipendi chadema na sababu nimezitoa?

umejishindilia pamba maskioni wala hukuona ishu ya kulisha watu sumu, kumwagia watu tindikali na kujilipua mabumu..haya ndio ulipaswa uanze nayo, ndio mana mingoi anakwambia we ni mnafiki na muuaji
 
Hujui waliompigia kura mnyika ni wachaga wa kimara tu na zingine aliiba tu.

Hivi Profesa aliwaongezea kura ngapi tena? Nakumbuka alikiri Msikitini kuwajazia kura maana zenu hazikutosha...........Mbona sasa mmeanza kumgeuka?
 
1.Chadema Chadema people's power
2.Wakituchakachua ehee watakiona cha moto kilichomtoa kanga manyoyaa
 
Mabomu ya kukuzuia kufika kwa Dr.kwa sababu Jose na Kamili..oni wamejifunga nayo kila kona acha kabisa usiwasogelee mdogo wangu watakufutilia mbali wakali hao kwa sasa?! watafute wengine kama wakina Baba V.

Naona unanisogezea mtoto. WABHEJASANA mwanawane..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa kaya yupi make wewe si unawazazi waili unamaanisha yupi.
 
Hivi Profesa aliwaongezea kura ngapi tena? Nakumbuka alikiri Msikitini kuwajazia kura maana zenu hazikutosha...........Mbona sasa mmeanza kumgeuka?

Wamemkamata kiongozi wake kule Mtwara naskia kuna hatihati kama meno,kucha na macho vipo kwa idadi kamili..
 
Mabomu ya kukuzuia kufika kwa Dr.kwa sababu Jose na Kamili..oni wamejifunga nayo kila kona acha kabisa usiwasogelee mdogo wangu watakufutilia mbali wakali hao kwa sasa?! watafute wengine kama wakina Baba V.

Heeeeeeee!!!!!!!!
Umezidi nawe lazima yakulipue,unamfuatilia nini Dr au ndo unataka umng'oe kucha.
 
Mwenye akili ni Prof Sugu wa kushika m.i.c.

Kama aliweza kumuita mtu MPU.MBAVU na baadae mahakama ikathibitisha pasipo shaka basi ujue kweli Mbilinyi ana akili..
 

Mmmmmh hebu angalia kipengele no 1 unasema Chadema inaongoza nchi? angalia upumbavu wa pili usije ukazidi upumbavu wa kwanza.
 
Kama ni kilio basi ni cha nyumba kubwa kuililia nyumba ndogo kupendwa zaidi na husband. Fumbo mfumbie mjinga mwerevu....... Kwa staili hii tupo pamoja mtoa mada
 
Unajua lakini kama Dr Slaa kaitelekeza familia yake na kesi ipo mahakamani?


Vp 40 zimeisha za kale kadogo kako? halafu husisahu kumpelekea baba mdogo walau Chai Segerea si unajua tena mama naye alitaka kuvinjari..... halafu mwambie mzee mambo ya vijukuu kila mtaa sio fit...
 
Hivi Profesa aliwaongezea kura ngapi tena? Nakumbuka alikiri Msikitini kuwajazia kura maana zenu hazikutosha...........Mbona sasa mmeanza kumgeuka?
Kumgeuka manaake nini wewe umelelewa na nani mbona unatukana hovyo hilo ndilo tatizo la bavicha kutukana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…