Siipendi CHADEMA

Kama huipendi chadema chukua sumu ya panya unywe ufe kabisa magamba weee
 
Chadema wana wafuasi wengi, wewe mtu mmoja usipo ipenda au kuiunga mkono chadema haita yumba kamwe, kwanza hata chama unacho kipenda hukisaidii kwa lolote ilikiwepo porojo ndio nyiiingi,
 
Yaani wewe ni mmoja kati ya mamillion ya wapenda mageuzi hapa Tanzania wanayoipenda sana CDM,CDM Inaonekana kuongoza nchi toka bungeni, CCM wako wengi lakini wanaburuzwa na CDM kama ulivyoainisha mwenyewe hii ndiyo laana ya kujitwalia madaraka kwa uraghai,mbinu chafu na rushwa sasa wanonekana hawapo,wamekufa kifikra japo wanatembea wamejifunga kwa kamba zao wenyewe nani awafungue????
 
Tunawaza kumkomboa mtanzania,hatuna mda wa kujibizana na wapuuzi
 
Chadema wana wafuasi wengi, wewe mtu mmoja usipo ipenda au kuiunga mkono chadema haita yumba kamwe, kwanza hata chama unacho kipenda hukisaidii kwa lolote ilikiwepo porojo ndio nyiiingi,
Chadema inawanaharakati haina wanachama na zaidi imejaza magaidi.
 
Mwenye akili na busara zao wameshakusoma mkuu,subili waje wachumia tumbo uone watavyokupinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…