Siipendi CHADEMA


mchunguze sana anayelia sana msibani.
 
hakuna tabu dada yangu tuko pamoja kwenye hiyo chadomo ambayo maisha yko yote kila siku ni kupiga chadomo.stupido you!

ha ha stupido you una miss chadema hadi kufa always crying for it
 
mi pia naipenda ccm kwakuruhusu kila mtu kupora mali ya umma kwa namna anavyoweza. CHUKUA CHAKO MAPEMA
 
sasa kwani Chdema ni majini? mgonjwa wewe tafuta tiba!

ni mara chache sana najiingiza kwenye malumbano yasiyo na tija kama haya,si utaratibu wangu mimi kuacha kujadili hoja na kumgeukia mtoa hoja, nimejikuta sina namna nyingine ya kuyakwepa kwasababu ndio njia pekee ya kukusaidia wewe kwasababu ktk siku za karibuni umekuwa mtu wa hovyo sana mkuu, ni vigumu kwa wewe mwenyewe kuli note hilo ila sisi watu wa nje tumeliona hilo na tuko tayari kukusaidia uondokane na huo mzigo wa ujinga huko kichwani mwako, kwa ulipofikia mkuu huna credibility ya kuniambia mimi nikatafute tiba lau wewe ndio ungetakiwa uwe chini ya uangalizi maalum wa dakkari kwa muda huu, usipochukua hatua mapema muda sio mwingi utaingia mtaani kuokota makopo na hao wagonjwa wenzio.
 

Kibolo maelezo yote ya nini? game imekushinda potelezea kiaina ngoma ngumu hii!!
 
I read this satirical thread and laughed whilst agreeing with some of the insinuations. Unfortunately MwanaJF Mpigilie may not be fully understood by some of our members.

Nakubaliana na Mh. Mpigilie kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita WaTz wengi waliungana na wanaCCM kwa kukipa kula chama chao na sasa karibu watavimbirwa. Ni matumaini yetu kwamba tutawapatia laxative ifikapo Oktoba 2015 ili warudie afya bora.
 
Mbona mwenyekiti wako akili yake ndogo anaongoza watu wenye phd na maprf.

Tofautisha kuhudhuria shule na HEKIMA mkuu. Ujiulize ni kwa nini Suleiman aliomba apewe HEKIMA na Mungu licha ya kuwa na uhuru wa kutosha wa kuchagua chochote atakacho. Sote hatimaye tunajua kuwa alitokea kuwa kiongozi wa kupigiwa mfano. Viongozi wengi wa TZ walihudhuria shule lakini hawakuelimika!
 
THIS IS WHAT I ENCOURAGE..mnapodhihirisha ubovu na kuchoka akili.u are good at this.
 
nani alisema chadema inakutaka?
 
Haingii akilini kabisa kama kuna watu wa kizazi cha nyakati hizi bado wanashabikia chama kinaitwa CCM. Dunia imebadilika sana na tunahitaji mabadiliko makubwa ya kiongozi ambayo yataendana na speed ya maendeleo ya dunia ya sasa. Viongozi hao wanatakiwa watoke kwenye kizazi kipya kabisa kisichokuwa na corrupt minds. Watanzania wenzangu tuachane na ccm kwakuwa hata dunia yasasa imeongia kwenye digital era. Hebu tujikumbushe kenya wameondokana na kitu inaitwa Kanu, Zambia the same. Why not Tanzania? what is holding Tanzania Back? We need to do something for our lovely country Tanzania. You guys should remember that Tanzania is rich in terms of land, resources and people, however, poverty is killing us. What have we not done right? Is it a curse?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…