Sifurahii kuwa 'single woman', sijui nifanyeje

unajua najaribu kumuangalia nungunungu huku najifananisha nae nakosa jibu!! haya dada
imebidi tu nicheke. Nungu nungu ukimgusa tu anakufyatulia miba ili usimzoee zoee. Na huyu kafyatuliwa mishale hadi macho yametoboka haoni. Mwanaume gani hapa bongo wa miaka 34 ambaye yuko rijali na hana stress na ana mwanamke hataki kuoa eti familia inamtegemea? Hata kama familia inamtegemea vipi haiwezi kumnyamazia kwenye swala la kuoa. Ni nungunungu tu huyo!
 
Wenzio wa umri huo sasa hivi wanalea vijukuu,wewe ndo kwanza bado unakuja kusumbua watu huku eti unataka mchumba!!nani anataka makombo sasa?

Mbona unakuwa so hard kwa huyu dada yetu?
Vibaya hivi jamani.
 
Hakuna limit ya kujipa muda off mahusiano ili kujipanga upya, kwa sababu tunatofautiana jinsi ya kukabili hisia na maumivu yetu na inategemea pia una uhitaji kiasi gani na hayo mahusiano mapya. Kama anaweza kumove on ndani ya siku ni fresh, ila tu pressure ya kuolewa isimfanye akakurupukia mahusiano mapya.

She is 30 and Naelewa pressure aliyonayo, but akiact desperate anaweza akaishia kuwa hata na miaka 35 afu still single. Coz from maelezo yake na hatua aliyofikia, leo leo akitokea mtu akataja " Ndoa" huyu anaingia king. Hajaibua libazazi kweli, na utashangaa hata lisimuoe kabisa likasafisha tu rungu. Huyu hatajipa hata muda wa kutosha wa kumchunguza huyo mtu.

Sometimes ni bora uchelewe ila ufike salama, kuliko uharakishe afu ukaangukia pua. Inabidi atulize kichwa kwanza, kwa sababu pia hakuna guarantee kwamba ndani ya muda huu mchache atapata mchumba ambaye yupo tayari kumuoa sasa hivi.

AMEN dada.
Mnisamhehe kukotikoti. Kidude cha laik kilipotelea kwenye uchaguzi.
 
Kila kitu kinapangwa na Mungu usikate tamaa Mungu ana makusudi yake vumilia,Kila kitu kinaenda na muda wake
 
Huyo jamaa atakuwa hana mpango na wewe kwa sababu kama yeye ana miaka 34 sidhani kama kwao watamkataza kuoa kisa wanamtegea yeye afu wakiangalia umri wake pia unakwenda na soon atakuwa mzee atakuwa na mtu ambae tayar ana mipango naye lkn ww anakuficha cha kufanya kaa nae chini ongea nae kiutaratibu akufafanulie hatma yenu kwa sababu kuwa tegemez hakuna mwisho kwa hyo sio sabab ya kushindwa kukuoa kama anakupenda kwl mtakula ata ugal dagaa sasa wewe unajua mwisho wa yeye kutegemewa mwambie afanye mipango ya faster ya kujitambulisha muishi pamoja ata kwa ndoa ya mahakaman ambayo haina gharama za matarumbeta na vitu vngn yangu ni hayo tu
 
kuna vitu viwili naviona kwa your 34 guy...
moja inawezekana labda anataka amalize majukumu yake ya nyumbani like kusomesha wadogo zake ili mkioana asiwe na mzigo mkubwa
ila wasiwasi wangu mahitaji ya nyumbani huwa hayaishi, ni mwendelezo, na wewe una kazi na maisha yako so hutakuwa tegemezi kwake...hii inanipa shaka huenda pia hayupo tayar kukuoa ila hatak kusema. kuwa makini pia haya mapenzi ya mbali unaweza kuta mwenzio ana familia huko alipo maisha yanaendelea we unasubiri tu.

kaeni chini mzungumze when anahisi atakuwa yupo tayari, lazima muwe na plan.
usiwe desperate kuolewa kwasababu wote wa rika lako wameolewa, ndoa si mashindano, olewa kwasababu upo tayari na unahisi furaha yako itakuja ukiwa na fsmilia yako- ili ufanikiwe hilo wahitaji kutulia na kupata chaguo sahihi.

kuna maisha baada ya matarumbeta ya harusi kuzimika...kama ulikosea kuchagua ndio hapo utaanza kucheza ngoma isiyo na mpigaji.
 
Mleta uzi...furaha yako ipo mikononi mwako. Fanya tathmini ukiona inafaa tafuta ustaarabu mwingine (tathmini ya kina ni muhimu usije jikuta umeacha mbachao kwa msala upitao) maana unaweza jifunga kwa ntu asiyena mpango na wewe

Hakafu 30 mbona bado?

unamdanganya mwenzio ww. Miaka 30 bado? Unataka aje asomeshe mtoto kwa pensheni?

Chukulia miaka 31 ndio anapata mtoto, miaka 35 mtoto yupo std1, miaka41 std7, miaka miaka 46 ndio anamaliza form four, miaka 48 anamaliza six, huyo ni mtoto wa kwanza tu. Mbona unamdanganya mwenzio?
 
una degree2, watoto wa2, kwa waume wa2.

iyo nimekupa kama angalizo kuwa makini icje ikatokea kwako. uckubali kuzaa tu bila ndoa, jikabidhi kwa Mungu, Na Unaweza Kwenda Kwa Mch.Wako Ukamweleza Nae Atakusaidia. Uctafuta Mume Kwa Kuangalia Vigezo Vya Elimu Ya Kawaida, Bali Mwenye Hofu Ya Mungu.
Kwa Ushauri Zaidi Nipm Au Piga Cm 0786100772, 0757856336

hahahahaaa! Wazee wa fursa ktk ubora wenu. Watu mkisikia miaka ana gari na ana kazi mnachangamkia fursa. Hahahahaa kila la kheri mkuu
 
mkuu umejileta kwenye kundi la mabazazi hapo najua pm yako imejaa.
 
Kama kawaida wazee wa fursa hawachelewi...na huko pm matapeli watakuwa wamemiminikaje? Ushauri wangu hawa wa humu wapotezee kama mchumba tafuta huko mtaani kwenu

acha kuwaharibia dili wenzio ww. Waache wajaribu kurusha ndoana huenda anaweza kunasa.

Halafu kwan wa humu sio wanaume? Mbona wengne tumeshaoa na tuna watoto.
 
Hahaaaaaaaa.....we chelewachelewa Cku unajikuta una undergo menopause au unazaa vjukuu Kisa unasubiri ndoa....kuolewa n Bahat tukiolewa wote waume za watu watachepuka na nan???
 
pole sana dada muombe sana MUNGU akujalie uwezo wa kuvumilia,ipo siku utakumbukwa na kumpata umpendaye, na kupata watoto idadi uipendayo.
 
Back
Top Bottom