Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Napita tuu taratibu na mwendo wa kunyata kibonge mwenzanguWw kibonge unaenda wapi eti
Nataka niende Mozambique
Khaaaaaa kufanya niniNataka niende Mozambique
Hahahahaa mana kukimbia ni shida kwetu acha tunyate tuNapita tuu taratibu na mwendo wa kunyata kibonge mwenzangu
KuonaKhaaaaaa kufanya nini
Hivi huyo home boy bado yupo WhatsApp mwambie nitampa talaka sasa unataka kwenda kuona nnKuona
Anamalizia kupikaHivi huyo home boy bado yupo WhatsApp mwambie nitampa talaka sasa unataka kwenda kuona nn
Anamalizia kupika
Kumuona na kumuoa shunie mdogo



anapika sijui anachemsha nini huko mdogo wangu utamsumbua wewe kwahiyo ukwe umeisha tenaHahaaa aya bhana huku nikiomba na kufunga au.Subili mkuu utaona si unaona mpaka leo tunavumilia kumsubili Yesu kristo bado hajakuja kutuchukua na wewe subili tu huko pm usikate tamaa
Hiyo lazima kufunga na kuombaHahaaa aya bhana huku nikiomba na kufunga au.
Ashakuum si matusi
wanawake wanene tumbo hapo hapo
kiuno hapo hapo
matiti hapo hapo
makalio hapo hapo
kiufupi wapo kama vipande vya magogo

Aya mamaa chinenee wangu.Hiyo lazima kufunga na kuomba
Ukwe badoanapika sijui anachemsha nini huko mdogo wangu utamsumbua wewe kwahiyo ukwe umeisha tena
Ukwe bado
Sema fanya kuwa unamtembelea kidogo unamsaidia kupika





nimecheka aiseeeKwanini?nimecheka aiseee
Hiyo ya kumtembelea kumsaidia kupika nikibakwa mie na uzee huu jamaniKwanini?

Hahaaa wembamba hawatoi jasho huko uliposema mkuu?Ila vibonge kakitembea kdg jasho adi takon![]()
Hato kufanyia hivyo hata akikubaka hato kubaka sana atafanye kidogo tu.Hiyo ya kumtembelea kumsaidia kupika nikibakwa mie na uzee huu jamani