Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
Wanene kwa macho kweli wanamvuto ila sasa wacha awe kama alivyozaliwa,dah!!kama boko. Ndo hivyo kila MTU na chaguo lake ila ukweli ni kwamba hata wanawake wanene hawajikubali











Wanene kwa macho kweli wanamvuto ila sasa wacha awe kama alivyozaliwa,dah!!kama boko. Ndo hivyo kila MTU na chaguo lake ila ukweli ni kwamba hata wanawake wanene hawajikubali











Ndo uhalisia labda kama umejiongeza kuepuka hayoJomoniiiii usitufanyie hivyo
Me ni kibonge mwenye shape yaani nimegawanyika mkuuNdo uhalisia labda kama umejiongeza kuepuka hayo
Tukiona comment za hivi tunajisikia raha vibongeNaunga mkono hoja mia kwa mia
Vitambi pia oyeeeeVibonge oyeeee
Asante mkuuMkuu huu ni uchochezi! by the way umeongea ukweli mtupu.. Most african men wanapenda sampuli tajwa hapa including me, myself and i...
Na kama hutamani ndio utakuja kuwa kibonge jamaniHuuu uzi unakimbia aiseee ...... Hongereni vibonge !!!! Thu sijawahi kutaman kuwa mnene
Mmhtatzo ya vibonge ni michirizi, yaan mwanamke akiwa na michirizi nyege zote zinakata
kweli tena bora nkomae na hawa hawa vimodo
Basi mkuu usitutenge hivyo na sisi jamani ile michirizi sababu ya unene tu wenyewe hatuipendi hatuna jinsikweli tena bora nkomae na hawa hawa vimodo
basi ngoja nianzie kwako mkuu,Basi mkuu usitutenge hivyo na sisi jamani ile michirizi sababu ya unene tu wenyewe hatuipendi hatuna jinsi
Hapana jamani me nimeshawahiwa niliwasemea tu vibonge wenzangubasi ngoja nianzie kwako mkuu,
Mama mke kibonge nyanyaHapana jamani me nimeshawahiwa niliwasemea tu vibonge wenzangu
mkuu kuwahiwa sio tatizo, we niruhusu nifanye field hapo nkiona matokeo mazuri ntafanya usajili kbsHapana jamani me nimeshawahiwa niliwasemea tu vibonge wenzangu