Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Nishawalipa modsLipia tangazo asee
Nishawalipa modsLipia tangazo asee
Kumbe shunie!Nishawalipa mods
Ngoja nikusaidie kuchekanacheka na comment mie
Usijali mkuu uwe na amaniKumbe shunie!
Sikuangalia ni nani mtoa mada.
My apology.ktk watu wanafeel humu URE THE 1
Umezioana sifa za mwanamke mnene lakin?
Aiseee hujaona kumbe! Kuna wanene lkn titi zinaonekana na zimesimama,kuna wanene lkn pia tako lipo...tena hana mdau wa kulitingsha....akitembea linatingishika.....kuna wanene kiuno na tako vinajitofautisha sio km viroba va unga!! Aisee fny researchAshakuum si matusi
wanawake wanene tumbo hapo hapo
kiuno hapo hapo
matiti hapo hapo
makalio hapo hapo
kiufupi wapo kama vipande vya magogo
Mie najua zako tuuuUmezioana sifa za mwanamke mnene lakin?
Kweli huyo jamaa hajawahi kuonaAiseee hujaona kumbe! Kuna wanene lkn titi zinaonekana na zimesimama,kuna wanene lkn pia tako lipo...tena hana mdau wa kulitingsha....akitembea linatingishika.....kuna wanene kiuno na tako vinajitofautisha sio km viroba va unga!! Aisee fny research
Kunamtu aliniambia wanaume wengi wanapenda hiyo michirizi?Tatzo linakuja akiwa na michirizi kwenye mapaja na kwenye makwapa hyo ndio shida
AsanteeeeeeeeeAiseee hujaona kumbe! Kuna wanene lkn titi zinaonekana na zimesimama,kuna wanene lkn pia tako lipo...tena hana mdau wa kulitingsha....akitembea linatingishika.....kuna wanene kiuno na tako vinajitofautisha sio km viroba va unga!! Aisee fny research
Ebu tia nenoAiseee
He heKunamtu aliniambia wanaume wengi wanapenda hiyo michirizi?
Mmmngh! Nimemkumbuka tu mama mmoja japo ana mwili lakini usipokaa barabara anaweza akaondoka na mshededeEbu tia neno
Kaka wakikukamata KIROBA kinakuhusu aisee,si kwa dongo hiloAshakuum si matusi
wanawake wanene tumbo hapo hapo
kiuno hapo hapo
matiti hapo hapo
makalio hapo hapo
kiufupi wapo kama vipande vya magogo