Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,076
- 136,490
huyu ndo toto la kiislam?
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......
huyu ndo toto la kiislam?
Ushapagawa wewe?!
Halafu white girl mbona kama nshawahi kukuona sehemu wewe? Ni mgeni kweli wewe hapa JF? #Mbuta Nanga
Bossman keshakuwa unkula huu na hasara juu....teh teh teh
uki cheat,wanasamehe fast
kuliko wembamba....
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......
Wembama ni wabishi mno! Nakumbuka kuna sista mmoja alikuwa akibishia hata bill za maji na umeme!