Sifa za wanawake/wadada wanene

Sifa za wanawake/wadada wanene

Hahaaaaaaa. Sina kabisaaaa. Mistaken Identity.

BABYGIRL.jpg
 
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

temea mate chini mtoto. Huwajui weye
 
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......


Mmmmh? nakataa labda ingekuwa matukunyema na si wanene, mi nshakuwaga na mnene na alikuwa ni mwenyeji wa KG ni mtata na mbishi kinyama.
 
Uwiiiiiiii The Boss sasa sie tutapataje waume sasa kama ndo waanzisha sredi kutuponda wembamba wa reli yakhe?
 
Back
Top Bottom