Sifa za wanawake/wadada wanene


Yani hu hapa ni ukweli mutupu
 
alafu ni watamu just imagine upewe choice u spend a night kati ya jokate au masogange..... obvious utachagua masogange!!!
 
ni kweli, wanawake wembamba wana wivu xana
 

Asanteee!!!!!
 
Wanawake wanene wengi huwa wameridhika dats y kukaa na kitu mda mrefu hawezi tofauti kbs na wembamba hutunza vitu vingi sn mioyoni mwao hata kama kdg ninauhakika na ilo asilimia80%

Wanawake wanene hawatongozwi sana hivyo akipata mmoja anamganda kama ruba..afu wanapenda sana kugegedwa ovyo wana nyege sana..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
na je mnene akikonda je atabadilika tabia na mwembamba nae akinenepa je
 
Wanawake wanene hawatongozwi sana hivyo akipata mmoja anamganda kama ruba..afu wanapenda sana kugegedwa ovyo wana nyege sana..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Hahahaa haaaa
Umeona eeh
 
alafu ni watamu just imagine upewe choice u spend a night kati ya jokate au masogange..... obvious utachagua masogange!!!

masogange sio mnene
ana shape inayoeleweka
hao wanene mnaowaongelea sio km masogange
 
Humu mbona utawajua tu wembambaa huwa vinaongea vibishi hivyoo
 
vip health-wise, je hawasumbui, presha ya kushuka na kupanda, uvivu, uchafu, obesity, kisukari???
je wanapendeza wavaapo mavazi au ni wa kuchagua sana viwalo au hawana shepu?
 
Mungu nijalie unene na mie maana haka kamwili kangu nna hatari yakukosa.....
 
Mwanamke mnene mimi kwangu ni shida nikijitahidi napigaga moja tuu. Huwa nawakinai sana hata kurudia inakuaga ngumu.
 
Ni unene wa wastani sio ule uliozid jamani wa manyama nyama hayana mpangilio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…