Sifa za wanawake/wadada wanene

Mkuu hujakosea kabisa kuhusu sifa za wanawake wanene, ila umezisahau sifa zao nyingine ambazo ni:
- wachafu
- wavivu
- nguo haziwapendezi
- ngumi mkononi

kidatu unaua sana! eti wachafu na wavivu...mh cjui kama ni kweli usidhani kwa kuwa wanene basi watakuwa wavivu/wazito hata kujisafi wenyewe jamani loh mnawaonea sasa
 
umenikwaza
ningeshangaa kama usinge lalamika
lakini mimi nafikiri wembamba ni wazuri zaidi
kwanza wanamantain kwa hiyo bajeti haisumbui
2.ubishi wa ni wamabadiliko (bring challenge in daily life)
3.wepesi kufanya maamuzi na mengi ni makini
4.ila wakikufumania utakoma japo mwisho wa siku ukishuka wanasamehe
5.wanapenda kuargue na ndo mana tunawanasheria wengi wembamba
 
Maeneo ya joto msuguano aw minyama uzembe Huzaa harufu unless awe na high degree ya kujifanyia usafi na maperfume!
 

cdhani,coz,me
ni,mwembamba,na,hizo,qualification,ninazo,
apo,imekaa,vip
mkuu.?angalizo
no,research,no
right,to,speak.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…