Sifa za wanaume weupe

Nawashangaaga sana mnavyomponda da prince!!! Yule ndiye mwanaume naemzungumzia hapa sasa ndo vile mdogo tu ila yule ndo dume cheusi mangala rangi adimu,, yale macho meupeeee na midomo yake,,, mwanaume mweusi mtamu sana unaweza mtafuna mzima mzima



ana lips tamu mnooi na ile height..MOYO U RADHI MWILI U DHAIFU
 
Hahaha
 
Nawashangaaga sana mnavyomponda da prince!!! Yule ndiye mwanaume naemzungumzia hapa sasa ndo vile mdogo tu ila yule ndo dume cheusi mangala rangi adimu,, yale macho meupeeee na midomo yake,,, mwanaume mweusi mtamu sana unaweza mtafuna mzima mzima
ila barakah mzuri
lakini kama wale wachache.. Na yule inabidi azae na mwanamke cheupe kama najma ...
 
Yaani wewe shida yako ni watoto watatokaje!!!
Iko hivi naweza mzalia hamorapa lakini sio bob junior!!
ila barakah mzuri
lakini kama wale wachache.. Na yule inabidi azae na mwanamke cheupe kama najma ...
 
Ana height nzuri bwana...
Huyu ni ke au me!! Km ni me mweupe, ye aendelee kupata tabu sana

Height ya da prince ni wastani inafaa sana hasa ukitegemea sie wanawake wengi vimo vyetu ni shotiiiii japo mi naweza kulingana na da prince
 
Shule zimefungwa kwa mwezi mzima,kufungua mpaka july.
 
Mi nimekwambia wanaume weusi wanatuvutia wanawake wengi tu we umekomaa na kubisha,,, kesho bandika uzi km huu wa kusifia wanaume weusi uone sifa zao zitavyomwagika maana nilizokutajia hapo hata robo hazifiki
aise nachati kama ke dah
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…