Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

Moyibi

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,054
Reaction score
702
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja

Mzumbe- Matajiri na wenye Akili

¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali

¤Cbe-dar
- Malaya na wasiojiweza kiakili

¤Tumaini
, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama

¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa

¤Udom
- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea

¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao

¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six

¤Mipango,
Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota

¤Lpcuco-
Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu

¤Ifm
- Kwa mademu wa ukweli
 
Eti Mzumbe ni wenye akili!!! Angalia programu ya MPA/MBA vilaza kibao wanaikimbilia
 
mtanisamehe bure bana kuna hizi short form za hivi vyuo nilipata kuvisikia ni jokes tu watu wangu ..
CBE= COLLEGE OF BI*CH and enterntaiment
IFM= Instute of female management ,.. tehe tehe
 
mtanisamehe bure bana kuna hizi short form za hivi vyuo nilipata kuvisikia ni jokes tu watu wangu ..
CBE= COLLEGE OF BI*CH and enterntaiment
IFM= Instute of female management ,.. tehe tehe

Mmmh !! Hayo umesema wewe
 
toooba!!! ruco na udom,cbe...mh mi sitii neno!!!
 
St.Joseph real and future engineers of Tanzania and abroad. Nawakilisha wakuu wa hili janvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…