Daraja2
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 285
- 346
Vijana wengi waliotimiza miaka 21 mwaka huu (2017) hata kama amemaliza "form 6" wana:-
1.akili tegemezi.
2.Maadili mabovu--matusi muda wote,kuvaa kata k,Kusalimia ziro, kudharau wazee n.k.
3.pumba mdomoni muda wote.
4.ujuaji mwingi-hata kwa mambo wasiyo na utaalamu nayo.
5.uwezo mdogo sana wa kubadili mazingira--badala yake mazingira (hasa mageni) ndiyo yanayowabadili wao.
6.Uwezo mdogo wa kuhimili misuko-suko au matatizo mazito---hukimbilia kujiua au kulikimbia tatizo.
7.akili finyu ya kujua chanzo cha tatizo au kitu kipya kinapokuja mbele yake kwa Mara ya kwanza kwa kutumia "akili ya kuzaliwa" ---Vijana wengi wanapoteza maisha/ kuangamia kila siku kwa kukosa au kushindwa kutumia "akili ya kuzaliwa"
Angalizo:- "akili ya kuzaliwa ni zaidi ya akili ya darasani"
Wenu wa siku zote,
Ahsanteni.
1.akili tegemezi.
2.Maadili mabovu--matusi muda wote,kuvaa kata k,Kusalimia ziro, kudharau wazee n.k.
3.pumba mdomoni muda wote.
4.ujuaji mwingi-hata kwa mambo wasiyo na utaalamu nayo.
5.uwezo mdogo sana wa kubadili mazingira--badala yake mazingira (hasa mageni) ndiyo yanayowabadili wao.
6.Uwezo mdogo wa kuhimili misuko-suko au matatizo mazito---hukimbilia kujiua au kulikimbia tatizo.
7.akili finyu ya kujua chanzo cha tatizo au kitu kipya kinapokuja mbele yake kwa Mara ya kwanza kwa kutumia "akili ya kuzaliwa" ---Vijana wengi wanapoteza maisha/ kuangamia kila siku kwa kukosa au kushindwa kutumia "akili ya kuzaliwa"
Angalizo:- "akili ya kuzaliwa ni zaidi ya akili ya darasani"
Wenu wa siku zote,
Ahsanteni.