Wolle Melkas Fernando
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 279
- 389
Katika maendeleo ya sayansi na teknolojia, kampuni inayotengeneza simu za TECNO sasa imekuja kitofauti na simu Phantom 6 ambayo ndio toleo jipya kabisa. Simu hii imekuja na vitu vingi vipya ukilinganisha na matoleo yake mengine. Baadhi ya sifa hizo ni:
1.Ina kamera mbili nyuma
2. Ni nyembamba
Wembamba wake ni sawa na kupanga vipande thelathini vya karatasi za rimu zilizolaliana na kufanya simu iwe na mvuto wa pekee.
3. Ina Mwonekano Mzuri
Na hizi ndizo sifa zake kwa ufupisho
1.Ina kamera mbili nyuma
2. Ni nyembamba
Wembamba wake ni sawa na kupanga vipande thelathini vya karatasi za rimu zilizolaliana na kufanya simu iwe na mvuto wa pekee.
3. Ina Mwonekano Mzuri
Na hizi ndizo sifa zake kwa ufupisho