Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Kwa sala na dua, ninaomba Tanzania tumpate Rais mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe katili kwa waongo, wapenda rushwa, wezi, mafisadi na wazembe kazini
2. Asiwe tajiri wala masikini
3. Awe na kisomo kuanzia shahada ya uzamili
4. Asitoke kabira lolote maarufu na kubwa nchini
5. Asiwe na umri chini ya miaka 40 na asizidi miaka 50
6. Awe kiukweli ni mtoto wa Mkulima
7. Akiishapata Urais, ahame chama kilichomwingiza madarakani kama alivyofanya Rais Dkt Bingu wa Mutharika wa Malawi, 2005.
10......................
11.....................
12.......................
13......................
14......................
Naomba ongezeni sifa uzipendazo kwa kadili uwezavyo..................
1. Awe katili kwa waongo, wapenda rushwa, wezi, mafisadi na wazembe kazini
2. Asiwe tajiri wala masikini
3. Awe na kisomo kuanzia shahada ya uzamili
4. Asitoke kabira lolote maarufu na kubwa nchini
5. Asiwe na umri chini ya miaka 40 na asizidi miaka 50
6. Awe kiukweli ni mtoto wa Mkulima
7. Akiishapata Urais, ahame chama kilichomwingiza madarakani kama alivyofanya Rais Dkt Bingu wa Mutharika wa Malawi, 2005.
10......................
11.....................
12.......................
13......................
14......................
Naomba ongezeni sifa uzipendazo kwa kadili uwezavyo..................