Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Ni story ndefu sana maiki, ngoja nikaushe nisije wafaidisha Raia.Kipindi hicho Makutupola bado RTS,
Mjombaaa mbona uliubwaga uzalendo?
Kipi kilizingua kamanda?
Worry not comrade!!Ni story ndefu sana maiki, ngoja nikaushe nisije wafaidisha Raia.
But mimi huwa najitizmaa kama reserve soldier kukiwa na magumu yanaikabili nchi ya mama Tanzania... Niko timamu kusonga mbele kuitetea bongo. Naipenda sana bongo.
Let's rest this case maiki!
Hahahahaha... That's what I meant Smart911 Ile ya ingawa maisha... .....pesa ndo kila kitu maisha.....Nipo best angu ulipotelea wapi weye???
kwa sifa hizi Paulo makonda out???Habari zenu wana jf leo ningependa watu ajue sifa za mwanaume halisi coz kuna mtu anajiita mwanaume ila hana sifa za kiume. Zifuatazo ni sifa za mwanaume wa kweli.
ongeza na za kwako hapo sifa za mwanaume wa kweli. ukiwa na sifa karibu zote hapo wewe ndo unaitwa mwanaume je wewe unayejiita mwanaume unazo hizo sifa??.
- Mwanaume wa kweli anakua na msismo yaani hayumbishwi
- Mwanaume wa kweli haongei sana yaani akiongea mara moja harudii na anaeleweka
- Mwanaume wa kweli lazima uwe unaishi kwako unategemewa na sio kwa wazazi kama Bado unaishi kwa wazazi usijiite mwanaume wewe unaitwa Mvulana.
- Mwanaume wa kweli lazima uwe na Maamuzi magumu.
- Mwanaume wa kweli lazima uwe ushampeleka mwanamke leba yaani uwe ushamtia mwanamke mimba uitwe baba.
- Mwanaume wa kweli ni mpambanaji' na hakati tamaa na hanung'uniki nung'uniki ovyo
- Mwanaume wa kweli hanuni
- Mwanaume wa kweli ni Jasiri,
mzima lkn? umeongea point kubwa sanaMwanaume wa ukweli anajali mambo yake
Umbea mwiko.
Umeua mkuu!Mwanaume wa kweli hutumia dume
Mi mzima sana cicy. Habari ya kupotea ?mzima lkn? umeongea point kubwa sana
Umetishaaamwanaume wa kweli haombi samahani....
mwanaume wa kweli anajisahaulisha sio unaniagiza nyama sokoni nakuletea
niko poa sana yaani my bro' nilikumisimo ujueMi mzima sana cicy. Habari ya kupotea ?
Nilikumisimo too. Kwa kupotea huko najua umejaza ile account ndio umerud hapa.niko poa sana yaani my bro' nilikumisimo ujue
hahahhahaha kama ulijua vileNilikumisimo too. Kwa kupotea huko najua umejaza ile account ndio umerud hapa.
Acc ya mapesa nimemaanishahahahhahaha kama ulijua vile
account hope tuko kwenye page moja my kaka
account ziko nyingi ujue?
Ok noted my lovely bro'Acc ya mapesa nimemaanisha
Mwanaume wa kweli hana goviHabari zenu wana jf leo ningependa watu ajue sifa za mwanaume halisi coz kuna mtu anajiita mwanaume ila hana sifa za kiume. Zifuatazo ni sifa za mwanaume wa kweli.
ongeza na za kwako hapo sifa za mwanaume wa kweli. ukiwa na sifa karibu zote hapo wewe ndo unaitwa mwanaume je wewe unayejiita mwanaume unazo hizo sifa??.
- Mwanaume wa kweli anakua na msismo yaani hayumbishwi
- Mwanaume wa kweli haongei sana yaani akiongea mara moja harudii na anaeleweka
- Mwanaume wa kweli lazima uwe unaishi kwako unategemewa na sio kwa wazazi kama Bado unaishi kwa wazazi usijiite mwanaume wewe unaitwa Mvulana.
- Mwanaume wa kweli lazima uwe na Maamuzi magumu.
- Mwanaume wa kweli lazima uwe ushampeleka mwanamke leba yaani uwe ushamtia mwanamke mimba uitwe baba.
- Mwanaume wa kweli ni mpambanaji' na hakati tamaa na hanung'uniki nung'uniki ovyo
- Mwanaume wa kweli hanuni
- Mwanaume wa kweli ni Jasiri,
Sure.MwanaUme Wa Kweli Humtunza MaMa Yake Mpaka mwisho wa Uhai.
Umetisha bro!Inapendeza sana...
Ukishazaliwa mwanaume ni mwiko kabisa, kusubiri mpaka upewe, wewe chukua tu...
Usitegemee huruma kutoka kwa watu, wewe fanya tu...
Usipende kusifiwa, wewe tenda tu...
Usingoje kuletewa, kifuate/vifuate...
Cc: mahondaw