Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,489
- 42,564
Uanaume wangu ni kusaidia jamii yangu iondokane na umaskini, jamii yangu ipate elimu bora na afya njema zaidi sana jamii iliyostqarabika.We ni mwanaume? Kama ndio na ni rijali oa zaidi ya mwanamke upunguze michepuko. Acha janja janja. Ni kweli mwanaume rijali hatosheki na mwanamke mmoja
Mi sitokani na jamii za hovyo na dhalili kama zenu mnaowaza kutanua wigo wa ngono tu na kuzalisha michokoraa iliyozagaa mitaani kwa kukosa matunzo na hifadhi toka kwa jamii bora.