Sifa za mwanaume kamili

Sifa za mwanaume kamili

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
733
Reaction score
567
Nimebaki na butwaa baada ya kumsikiliza uyu mama anayesema kwamba mwanaume kamili ni lazima uwe na mke zaidi ya mmoja

Kwa upande wangu naunga mkono hoja yake

Mpaka sasa najiuliza kapata wapi ujasili wa kuongea ayo maneno

Wanawake Kama hawa ni wachache sana duniani

 
Ni kweli kabisa sisi wanaume ni watu wa Tamaa sana, kwa hiyo ukiwapata wanne wa dizain tofauti atleast tamaa inaweza ikapungua au kuondoka kabisa, ukizingatia Dini inasema ukifikisha wanne alafu ukaendelea kuzin nje na wengine wewe ni wa motoni tu
 
Hii ni ngumu Kwa wenye upungufu wa nguvu za kiume.Special Kwa wenye mnara 4G
 
Ni kweli kabisa sisi wanaume ni watu wa Tamaa sana, kwa hiyo ukiwapata wanne wa dizain tofauti atleast tamaa inaweza ikapungua au kuondoka kabisa, ukizingatia Dini inasema ukifikisha wanne alafu ukaendelea kuzin nje na wengine wewe ni wa motoni tu

iyo sio tamaa…ndo tulivyoumbwa
 
Ko iyo butwaa ilikua ya nn na unakubaliana nae,na usikute wakt wa butwaa ulifungua mdomo na ukajishika kichwa kabisa *****
 
Hawa watu hawawazi juu ya jamii bora iliyoelimika, yenye maji safi na salama ya kunywa, afya bora na malezi bora, hawazungumzii kusaidia jamii zenye uhutaji ziinuke wao mijadala yao baada ya shibe ni ngono, ngono, ngono. Ni watu wa hovyo sana.
 
Nimebaki na butwaa baada ya kumsikiliza uyu mama anayesema kwamba mwanaume kamili ni lazima uwe na mke zaidi ya mmoja

Kwa upande wangu naunga mkono hoja yake

Mpaka sasa najiuliza kapata wapi ujasili wa kuongea ayo maneno

Wanawake Kama hawa ni wachache sana duniani


Unakuta johnthebaptist anao zaidi ya wawili na michepuko juu na anamudu na buku 7 Za Lumumba Kila siku. Mmatumbi binadamu mbishi Sana.
 
Nimebaki na butwaa baada ya kumsikiliza uyu mama anayesema kwamba mwanaume kamili ni lazima uwe na mke zaidi ya mmoja

Kwa upande wangu naunga mkono hoja yake

Mpaka sasa najiuliza kapata wapi ujasili wa kuongea ayo maneno

Wanawake Kama hawa ni wachache sana duniani


Akili za mtu mweusi!!
 
Hawa watu hawawazi juu ya jamii bora iliyoelimika, yenye maji safi na salama ya kunywa, afya bora na malezi bora, hawazungumzii kusaidia jamii zenye uhutaji ziinuke wao mijadala yao baada ya shibe ni ngono, ngono, ngono. Ni watu wa hovyo sana.
We ni mwanaume? Kama ndio na ni rijali oa zaidi ya mwanamke upunguze michepuko. Acha janja janja. Ni kweli mwanaume rijali hatosheki na mwanamke mmoja
 
Mimi natafta mke wa pili! Kama Kuna mwanamke yupo tayari humu akaribie pm!
Zingatia ni wapili, na sifikiriii kumuacha wa kwanza! Natafta kuwa mwanaume kamili.
 
Back
Top Bottom