Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Hii haina haja, unaweza ukanywa sumu bure! Mapenzi yanatakiwa ya kawaida tu ila kuheshimiana ndo cha muhimu zaidi
Well said!!!!
Hii haina haja, unaweza ukanywa sumu bure! Mapenzi yanatakiwa ya kawaida tu ila kuheshimiana ndo cha muhimu zaidi
Basi utakuwa ulikuwa unasagana. Uliolewa vipi na mtu asiye na dudu? Sema mlioana
Hv hapa Ukubwa wa Dudu hauhusiki kweli.
Hv hapa Ukubwa wa Dudu hauhusiki kweli.
Nitampataje?
Si ndo mambo haya ya kujifanya mlokole eti nisizini nae mpaka ndoa.
Me nikakubali,tukaoana.
Kufika nyumbani katikati ya mashamsham namgusa sehemu sehemu nashangaa pako flati,
kufunua hv,hana kabisa mashine.
Uwii...niliomba talaka na kesho yake nikarudi kwetu.
Mpaka leo niko kwetu,maana dah!
Inahusika sana.
Si ndo mana ukatukimbia mimi na Evelyn Salt.