Sifa za Mume mwema

Najua,lakini hko kiungo ndicho kinafanya mwanaume atambulike mbele ya Mkewe.
Huwezi kunioa ukawa na adabu zote pasi na kuwa na hko Kidude.
Madame B una maeno mengi kweli, lakini ukiingia ndani ya nyumba wewe ndio wa kwanza kugeukia upande wa pili, leo kichwa kina uma, kila siku sababu na vijisabu kisa...unaogopa duduvule
 
Last edited by a moderator:
Mambo Poa mpenzi,
sijui wewe.
Nauliza hvo sababu U mume mwema hauwezi kukamilika pasi na kuhudumia mwili wa mke.
Na mahitaji ya mke ni pamoja na Unyumba.

Pale namba nne imejieleza...ni pamoja na huduma hiyo...!
 
hawa wanaume hupatikanaje? wanaenda 'kitchen party for men' au ni wa ki-nadharia tu?
 

Asante kwa kutupatia hints za ukwenheeee.... Ngoja nimsake mwenye sifa hizo!!!!!

Barikiwa saaaaaanaaaaa!!!!!!!!!
 
:becky::becky:Ndahani kwani ulidhani sina dini?:biggrin1:

Si kwamba huna dini...la hasha...ila nikapata mashaka inawezekana ndio wale walioasi seminary...they normally go to extremes when they feel like!
 
Si kwamba huna dini...la hasha...ila nikapata mashaka inawezekana ndio wale walioasi seminary...they normally go to extremes when they feel like!

Sijawahi kanyaga hata ardhi ya seminary....!:confused2:
 
hawa wanaume hupatikanaje? wanaenda 'kitchen party for men' au ni wa ki-nadharia tu?

Hakuna kitchen party au ngoma yeyote ile iwezayo kukupa mwenza mwema wa ndoa. Mume/Mke mwema hutoka kwa Mungu

Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye,
bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Mungu

Mithali 19:14

Cha muhimu mshirikishe Mungu katika kila jambo lako. Hapo unajiongezea nafasi ya kupata mke/mume mwema.

Bali yu heri mumewe akipata mke mwema,
hata jumla ya siku zake zitakuwa maradufu.

Mwanamke hodari humfurahisha mumewe,
naye ataitimiza miaka yake katika amani.

Mke mwema ndiye tunu bora,
mcha Bwana atatunukiwa huyo kifuani pake.

Yoshua bin Sira 26:1-3

Mengi hutukuta kwa kupenda kutompa Mungu nafasi. Nani anajua zaidi ya Mungu? Tutaishia kuchagua wenza kwa sura au fedha lakini tusiipate amani wala baraka za familia. Tutambue kuwa si mpango wa Mungu kuishi kwa mafarakano ndani ya ndoa.

Kuna mambo matatu yanipendezayo,
ni mazuri mbele za Mungu na wanadamu:
umoja wa ndugu, urafiki wa majirani,
na mke na mumewe wanaopatana.

Yoshua bin Sira 25:1


 
Madame b,
Dudu, ipi maana ukubwa in relative term, Nina maana kitu Kimora kinakuwa kidogo au kikubwa kutokana na ukubwa au udogo wa Dudu nyenzake.......
 
napendwa kuzidi kazi, biashara, wazazi???
hapana asee siwezi kuusemea moyo wa mtu kwa kiwango kikubwa hivo......

Shida ni tafsiri ya kupendwa kwako. Ulinganifu wa mapenzi kwa kazi na mtu ni shida. Kupendwa zaidi ya kazi hakumaanishi mwanaume awe tayari kuacha kazi wewe utakaposema ACHA.

Umeolewa?
 
Ukwata nilipewa cheti siku namaliza form six ila sikuwahi hudhuria kipindi...................!:becky::becky:

Haaaahaaaa! Ubarikiwe mkuu....maisha yana mambo mengi sana kama haya mambo tunayofanya hapa,lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…