Sifa za msela anayeishi geto

Sifa za msela anayeishi geto

Smart Technician

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
653
Reaction score
826
Toa na.wewe sifa unazozifaamu za msela

1. hafugi paka
2.hafui shuka bila kuumwa mafua
3.sufuria na sahani ndiyo hio hio
4.jiko lake lipo mgahawani
5.
 
Unakuta kachora chora ukutani au kabandika magazeti ukutani
Uvungu wa kitanda ndo jalala lake
 
Back
Top Bottom